HabariHaya hapa majina waliopita usaili TRA Admin5 months ago01 mins 27 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya watu waliopita katika usaili wa kuandika na hivyo kuitwa kwa ajili ya kufanya usaili wa mazungumzo. Soma majina hayo hapa TRA imetangaza majina hayo jana usiku Jumamosi Aprili 26, 2025. Post navigation Previous: TAKUKURU YAPONGEZWA KWA KUWA MSTARI WA MBELE KUPAMBANA KUZUIA RUSHWANext: Wakulima Mbinga Waomba Kukomeshwa kwa Biashara ya Magendo ya Kahawa