Haya hapa majina waliopita usaili TRA


Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya watu waliopita katika usaili wa kuandika na hivyo kuitwa kwa ajili ya kufanya usaili wa mazungumzo.

Soma majina hayo hapa

TRA imetangaza majina hayo jana usiku Jumamosi Aprili 26, 2025.

Related Posts