Zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuadhimishwa Siku ya Wafanyakazi Duniani, maarufu Mei mosi, watumishi wa umma na wa sekta binafsi wanatamani kusikia mambo matano kuhusu kuboresha masilahi.
MAMBO MATANO MEI MOSI 2025: Mishahara yaendelea kugonga vichwa vya wafanyakazi
