KMC iliyopo nafasi ya 11 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara imetangaza kupeleka mechi yao ya marudiano dhidi ya Simba mjini Tabora, huku mabosi wa klabu huyo kupitia Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Daniel Mwakasungula wametoa ufafanuzi wa sababu ya kufanya hivyo.
