MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, Eliud Ambokile amesema ushindi ilioupata kikosi hicho ugenini wa mabao 3-2, dhidi ya Geita Gold, umewapa matumaini makubwa ya kupambana michezo miwili iliyobaki ili kuirejesha timu hiyo Ligi Kuu Bara msimu ujao.
Ushindi Mbeya City wampa mzuka Ambokile
