Kaseja awatuliza mastaa Kagera Sugar


KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja anajua wana mechi ngumu za kumaliza msimu salama, lakini amesema amefanya kikao na wachezaji wa timu hiyo kuwatuliza na kuwataka wacheze kiufundi na kuweka pembeni presha ya kushuka daraja ili wajiokoe.

Related Posts