Selemani Bwenzi ageuka lulu sokoni


VIGOGO mbalimbali nchini wameanza kupiga hesabu za kuinasa saini ya mshambuliaji wa KenGold, Selemani Bwenzi kutokana na kiwango bora anachoonyesha akiitumikia timu hiyo, licha ya kikosi hicho kushuka daraja kikisaliwa na mechi tatu za ligi mkononi.

Related Posts