KITENDO cha Mtibwa Sugar kurejea Ligi Kuu Bara baada ya kushuka msimu uliopita, kimemfanya ofisa mtendaji mkuu wa kikosi hicho, Swabri Aboubakar kueleza sababu iliyochangia mafanikio hayo ni ushirikiano wa viongozi na wala sio vinginevyo.
Bosi Mtibwa Sugar aweka mikakati mipya
