Tunachafuliwa! Tuwe wazalendo tusinyamazie uchafuzi huu!


Mzalendo wa kweli hatakubali kuona nchi yake au Rais wake anatukanwa au kusemwa vibaya kwa hoja za uongo, hususan kutoka kwenye vyombo vya habari vya mataifa ya nje, wakiwamo majirani zetu. Hali hii haiwezi kupuuzwa, hasa pale vyombo vyetu vya habari navyo vikiamua kukaa kimya.

Related Posts