Habari WAZIRI PROF. MKENDA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA ROMBO June 28, 2025 Admin 14 WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Rombo, Massoud MeliMeli Related Posts Habari Israel Yadaiwa Kujaribu Kumlipua Rais Mpya wa Iran – Global Publishers July 10, 2025 Admin Habari GG&3+ Kukupatia Mshiko Mechi ya PSG vs Real Madrid July 9, 2025 Admin