Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • Marekani yaihakikishia Ukraine usalama ikiachana na Nato

    4 minutes ago
  • Mashabiki waiponza Black Sailors, yapigwa faini Sh1 milioni

    30 minutes ago
  • Lydia ‘alivyotoboa’ shule ya kata hadi utetezi elimu kwa wasichana

    34 minutes ago
  • Tumaini elimu ya ufundi stadi kuunganishwa na miradi ya kimkakati

    38 minutes ago
  • Jifunze mambo haya ukiwa bado shule au chuoni

    42 minutes ago
  • Ukame unavyozua hofu ya uhaba wa chakula nchini

    46 minutes ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030
  • Habari

RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030

Admin6 months ago01 mins
43

 

Mbunge wa jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amechukua fomu ya maombi ya kugombea tena nafasi ya ubunge kwa kipindi kingine cha 2025/30 kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fomu hiyo ameichukua leo Juni 30 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi CCM Ngara Mkoani Kagera. 

 Hata hivyo vyombo vya habari vilivyokuwepo katika eneo la tukio walipotaka mahojiano hakuwa tayari kuzungumzia chochote zaidi alisema wakati ukifika atazungumza.

Ikumbukwe kuwa Mheshimiwa Ruhoro ni miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa  kwa wananchi wa jimbo lake kwani wananchi hao wamekuwa wakimchangia fedha kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea tena katika kipindi kingine 2025-2030.

Post navigation

Previous: Wanaodaiwa kuendesha biashara ya upatu waendelea kusota rumande
Next: Yanga yatumia wimbo wa Ali Kiba kuikebehi Simba 

Related News

Marekani yaihakikishia Ukraine usalama ikiachana na Nato

Admin4 minutes ago 0

Lydia ‘alivyotoboa’ shule ya kata hadi utetezi elimu kwa wasichana

Admin34 minutes ago 0

Tumaini elimu ya ufundi stadi kuunganishwa na miradi ya kimkakati

Admin38 minutes ago 0

Jifunze mambo haya ukiwa bado shule au chuoni

Admin42 minutes ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo