Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • WASIRA APIGA KURA , AWASIHI WANANCHI WASIPOTEZE NAFASI KUCHAGUA VIONGOZI WATAKAOONGOZA MIAKA MITANO IJAYO

    29 minutes ago
  • MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI ZOEZI LA KUPIGA KURA – KIGOMA

    33 minutes ago
  • Hekaheka za wapigakura ukimya ukitawala mitaani Dodoma, Dar

    46 minutes ago
  • KAILIMA AJITOKEZA KUPIGA KURA, AKAGUA VITUO VYA KUPIGA, JIJINI DODOMA

    48 minutes ago
  • Kesi ya mageuzi ya Baraza la Usalama – maswala ya ulimwengu

    57 minutes ago
  • MGOMBEA UBUNGE CHATO KUSINI APIGA KURA KWA AMANI

    2 hours ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030
  • Habari

RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030

Admin4 months ago01 mins
35

 

Mbunge wa jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amechukua fomu ya maombi ya kugombea tena nafasi ya ubunge kwa kipindi kingine cha 2025/30 kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fomu hiyo ameichukua leo Juni 30 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi CCM Ngara Mkoani Kagera. 

 Hata hivyo vyombo vya habari vilivyokuwepo katika eneo la tukio walipotaka mahojiano hakuwa tayari kuzungumzia chochote zaidi alisema wakati ukifika atazungumza.

Ikumbukwe kuwa Mheshimiwa Ruhoro ni miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa  kwa wananchi wa jimbo lake kwani wananchi hao wamekuwa wakimchangia fedha kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea tena katika kipindi kingine 2025-2030.

Post navigation

Previous: Wanaodaiwa kuendesha biashara ya upatu waendelea kusota rumande
Next: Yanga yatumia wimbo wa Ali Kiba kuikebehi Simba 

Related News

WASIRA APIGA KURA , AWASIHI WANANCHI WASIPOTEZE NAFASI KUCHAGUA VIONGOZI WATAKAOONGOZA MIAKA MITANO IJAYO

Admin29 minutes ago 0

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI ZOEZI LA KUPIGA KURA – KIGOMA

Admin33 minutes ago 0

Hekaheka za wapigakura ukimya ukitawala mitaani Dodoma, Dar

Admin46 minutes ago 0

KAILIMA AJITOKEZA KUPIGA KURA, AKAGUA VITUO VYA KUPIGA, JIJINI DODOMA

Admin48 minutes ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo