Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • WASIRA APIGA KURA , AWASIHI WANANCHI WASIPOTEZE NAFASI KUCHAGUA VIONGOZI WATAKAOONGOZA MIAKA MITANO IJAYO

    20 minutes ago
  • MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI ZOEZI LA KUPIGA KURA – KIGOMA

    24 minutes ago
  • Hekaheka za wapigakura ukimya ukitawala mitaani Dodoma, Dar

    37 minutes ago
  • KAILIMA AJITOKEZA KUPIGA KURA, AKAGUA VITUO VYA KUPIGA, JIJINI DODOMA

    39 minutes ago
  • Kesi ya mageuzi ya Baraza la Usalama – maswala ya ulimwengu

    48 minutes ago
  • MGOMBEA UBUNGE CHATO KUSINI APIGA KURA KWA AMANI

    2 hours ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI
  • Habari

MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI

Admin4 months ago01 mins
37

 

Mtanzania anayeishi Uingereza, Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.

Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia ya Chief Kaswende Shikira anakuja kuwania nafasi hii akiwa na kumbukumbu ya heshima na urithi wa familia yake, kwani ni mjukuu wa marehemu Chief Abdalla Fundikira, kiongozi mashuhuri na shujaa wa siasa, ambaye alijitolea kwa ustawi wa jamii na taifa.

Post navigation

Previous: Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate
Next: Chaumma yapuliza kipyenga ubunge na udiwani, urais ngoma nzito

Related News

WASIRA APIGA KURA , AWASIHI WANANCHI WASIPOTEZE NAFASI KUCHAGUA VIONGOZI WATAKAOONGOZA MIAKA MITANO IJAYO

Admin20 minutes ago 0

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI ZOEZI LA KUPIGA KURA – KIGOMA

Admin24 minutes ago 0

Hekaheka za wapigakura ukimya ukitawala mitaani Dodoma, Dar

Admin37 minutes ago 0

KAILIMA AJITOKEZA KUPIGA KURA, AKAGUA VITUO VYA KUPIGA, JIJINI DODOMA

Admin39 minutes ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo