Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • Dkt. Rugemeleza Nshala Atimiza Miaka 30 ya Uwakili, Aeleza Safari Yake

    7 minutes ago
  • Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 16, 2025

    11 minutes ago
  • Rais Samia: JWTZ Jiepusheni na Mashinikizo ya Kisiasa, Bakini Jeshi la Wananchi – Video

    15 minutes ago
  • MAGAZETI YA TZ LEO J'NNE DEC 16,2025

    2 hours ago
  • Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa, Ban aonya Baraza la Usalama la hatari la kutohusika bila mageuzi – Masuala ya Ulimwenguni

    2 hours ago
  • Sababu Zinazofanya Gari la Rais wa Marekani Liogopewe Duniani – Video

    2 hours ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI
  • Habari

MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI

Admin6 months ago01 mins
43

 

Mtanzania anayeishi Uingereza, Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.

Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia ya Chief Kaswende Shikira anakuja kuwania nafasi hii akiwa na kumbukumbu ya heshima na urithi wa familia yake, kwani ni mjukuu wa marehemu Chief Abdalla Fundikira, kiongozi mashuhuri na shujaa wa siasa, ambaye alijitolea kwa ustawi wa jamii na taifa.

Post navigation

Previous: Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate
Next: Chaumma yapuliza kipyenga ubunge na udiwani, urais ngoma nzito

Related News

Dkt. Rugemeleza Nshala Atimiza Miaka 30 ya Uwakili, Aeleza Safari Yake

Admin7 minutes ago 0

Rais Samia: JWTZ Jiepusheni na Mashinikizo ya Kisiasa, Bakini Jeshi la Wananchi – Video

Admin15 minutes ago 0

Sababu Zinazofanya Gari la Rais wa Marekani Liogopewe Duniani – Video

Admin2 hours ago 0

OUT Yatangaza Ajira Mpya 15 za Tutorial Assistant Kanda Mbalimbali

Admin3 hours ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo