Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • MIKATABA ILINDE MASLAHI MAPANA YA NCHI NA WANANCHI

    21 minutes ago
  • Moruwasa yalia na wezi, wachimba madini vyanzo vya maji

    27 minutes ago
  • WAFANYAKAZI TUME YA UTUMISHI WA UMMA, WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA NGORONGORO.

    29 minutes ago
  • Waziri Mkuu Afanya  Mazungumzo  Na Waziri Wa Mambo  Ya  Nje Fedha  Na Taasisi  Ya  Kuke Ya Poland

    33 minutes ago
  • Atoa wito wanachama kuongeza ushirikiano kuijenga CCM

    35 minutes ago
  • Bodi ya Mfuko wa Barabara kutumia zaidi ya Sh983 bilioni huduma za barabara

    39 minutes ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI
  • Habari

MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI

Admin7 months ago01 mins
51

 

Mtanzania anayeishi Uingereza, Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.

Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia ya Chief Kaswende Shikira anakuja kuwania nafasi hii akiwa na kumbukumbu ya heshima na urithi wa familia yake, kwani ni mjukuu wa marehemu Chief Abdalla Fundikira, kiongozi mashuhuri na shujaa wa siasa, ambaye alijitolea kwa ustawi wa jamii na taifa.

Post navigation

Previous: Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate
Next: Chaumma yapuliza kipyenga ubunge na udiwani, urais ngoma nzito

Related News

MIKATABA ILINDE MASLAHI MAPANA YA NCHI NA WANANCHI

Admin21 minutes ago 0

Moruwasa yalia na wezi, wachimba madini vyanzo vya maji

Admin27 minutes ago 0

WAFANYAKAZI TUME YA UTUMISHI WA UMMA, WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA NGORONGORO.

Admin29 minutes ago 0

Waziri Mkuu Afanya  Mazungumzo  Na Waziri Wa Mambo  Ya  Nje Fedha  Na Taasisi  Ya  Kuke Ya Poland

Admin33 minutes ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo