HabariABBAS MWINYI, KAKA WA RAIS WA ZANZIBAR DR. HUSSEIN MWINYI, AMEFARIKI DUNIA. Admin2 months ago01 mins 22 Marehemu alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Fuoni kupitia CCM na aliwahi pia kuwa Mbunge wa jimbo hilo kabla. Taarifa zaidi tutakuletea kadri tutakavyokuwa tunazipata kupitia mwandishi wetu aliyepo Zanzibar Post navigation Previous: MUHIMBILI YAKANUSHA KUWAFUTA KAZI WAFANYAKAZI 200Next: Mwili wa Askofu Mkuu Rugambwa waagwa Vatican
Rais Samia Anamuapisha Mwigulu Nchemba Kuwa Waziri Mkuu Mpya…. – Global Publishers Admin30 minutes ago 0
Askofu Nkwande: Kilichotokea Oktoba 29 aibu, fedheha walioshiriki mauaji kwa kutoa amri na kushabikia watubu Admin54 minutes ago 0