ALIYEKUWA Kocha wa KenGold, Omary Kapilima, yupo katika mazungumzo ya kukiongoza kikosi cha B19 zamani kikifahamika kwa jina la Tanesco, baada ya timu hiyo iliyopanda daraja msimu huu kutokuwa na mwenendo mzuri kwenye Ligi ya Championship.
Kapilima, B19 kuna jambo linaendelea