Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda ameshauri kampeni ya upandaji miti mkoani Dodoma iyahusishe kwa kiwango kikubwa makundi ya vijana ili kuhakikisha miti inayopandwa inatunzwa, inakua na kuleta manufaa yaliyokusudiwa.
Pinda: Vijana wahusishwe kampeni ya upandaji wa miti