Ofisa ustawi wa jamii aliyegeukia uuzaji juisi
Dar es Salaam. Gharama za maisha zinapoongezeka, mara nyingi kila mtu huangalia namna ya kukabiliana nazo, ikiwamo kutafuta kipato cha ziada ili kupata uhuru wa kuishi. Hali hiyo huwafanya wengi kufikiria nje ya boksi na kuangalia kitu gani kinachoweza kufanyika kwa urahisi bila kuathiri shughuli zao za kila siku, na hapo ndipo kila mtu huja…