Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Author: Admin

  • Home
  • Admin
Habari

Watatu Wahofiwa Kufariki Ajali Ya Lori – Global Publishers

July 7, 2025 Admin

Takribani watu watatu wanahofiwa kufariki dunia kufuatia ajali mbaya iliyotokea leo, Julai 7, 2025, katika eneo la Mtoni Msikitini, Temeke, jijini Dar

Read More
Habari

Serikali yaonya watakaohujumu vifaa vya chanjo, utambuzi wa mifugo

July 7, 2025 Admin

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetoa onyo kwa maofisa na watalaamu wanaotekeleza Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo kutotumia vifaa vya chanjo

Read More
Habari

KESI YA MAUAJI YA MUUZA MADINI MTWARA: Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa- 8

July 7, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katika mfululizo wa mapitio ya hukumu ya kesi hii ya mauaji ya kukusudia iliyokuwa ikiwakabili maofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara,

Read More
Habari

Sabasaba ya ghasia nchini Kenya, Gen-Z waingia tena barabarani

July 7, 2025 Admin

Nairobi. Hali ni tete nchini Kenya kufuatia maandamano ya vijana wa Gen-Z walioingia mitaani leo na kufunga barabara ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku

Read More
Habari

Mazungumzo Ya Kusitisha Vita Gaza Yagonga Mwamba – Global Publishers

July 7, 2025 Admin

  (Kushoto) Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel ; (Kati)Sheikh Mohammed bin Abdulrahman Al-Thani, Waziri Mkuu wa Qatar na Waziri wa Mambo

Read More
Habari

NECTA Yatangaza Matokeo Ya Kidato Cha Sita – Global Publishers

July 7, 2025 Admin

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Dr. Said Mohammed Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza

Read More
Habari

Wananchi waaswa kuchangamkia fursa za Biashara katika Kilimo-Dkt.Thomas

July 7, 2025 Admin

WADAU Wadau wa Kilimo katika mnyororo mzima wa thamani wameshauriwa kuchangamkia fursa za kijasiriliamali na kibiashara zilizopo katika sekta ya Kilimo kwa kutumia Teknolojia zilizofanyiwa

Read More
Habari

71 wafutiwa matokeo kidato cha sita,  ualimu, 244 yazuiliwa

July 7, 2025 Admin

Unguja. Baraza la Mitihani la Tanzania limefuta matokeo ya watahiniwa 71, wakiwemo 70 wa mtihani wa kidato cha sita na mmoja wa ualimu daraja A

Read More
Habari

Teknolojia kudhibiti uvujaji wa mafuta baharini

July 7, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya kukabiliana na uvujaji mafuta baharini ya Desmi Africa imekuja na teknolojia mpya kukabiliana na changamoto hiyo

Read More
Habari

Ufaulu kidato cha sita wapanda

July 7, 2025 Admin

Unguja. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita huku  ufaulu wa jumla ukiwa asilimia 99.95 kwa watahiniwa 126,135 waliofanya mtihani,

Read More

Posts pagination

1 2 … 3,677 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.