Admin

Rais Samia amlilia Jenista Mhagama

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, amepokea kwa masikitiko kifo cha mbunge wa Peramiho (CCM), Mkoa wa Ruvuma, Jenista Mhagama kilichotokea leo Alhamisi Desemba 11, 2015 jijini Dodoma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma na Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma, Ofisi ya Bunge, Spika wa Bunge, Mussa Zungu…

Read More

Mwekezaji Mtanzania aula mradi wa Sh2.2 trilioni Zambia

Zambia. Amsons Group, moja ya makampuni makubwa ya nishati na viwanda kutoka Tanzania, imetangaza ushirikiano mkubwa wa kimkakati na kampuni ya Exergy Africa Limited ya Zambia kwa ajili ya kuendeleza kwa pamoja miradi mipya ya uzalishaji umeme yenye jumla ya megawati 1,300. Mradi huo wenye thamani ya Dola za Marekani 900 milioni (Sh2.2trilioni) utahusisha MW…

Read More

Namna ya kumjengea mtoto nidhamu ya pesa

Katika mazingira ya maisha yanayobadilika kila siku, swali muhimu ambalo wazazi wengi hujiuliza ni hili: Je, tunawaandaa watoto wetu kukabiliana na changamoto za kiuchumi za kesho? Gharama za maisha zinaongezeka, matumizi ya pesa kwa njia za kidijitali yanakuwa ya kawaida, na watu wengi hujikuta bado wanalipa madeni wakiwa watu wazima. Katika hali kama hii, elimu…

Read More

Fursa za kiuchumi kwa wahitimu Tanzania

Dhana ya uchumi wa ushindani inazinduka katika mazungumzo ya kitaifa, ikitoa mwanga wa tumaini na changamoto kwa vijana wetu wanaomaliza elimu ya juu. Wengi huuliza: Je, wahitimu wetu wana nafasi gani katika uchumi huu unaolenga kuziba pengo la ajira kwa kujenga uchumi wa uvumbuzi na uwezo wa kimataifa? Jibu liko katika ufahamu wa kina wa…

Read More

Waasi DRC watumia droni kushambulia wakiuwa raia 100, maelfu wakikimbia makazi yao

DRC. Serikali ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) imekemea matumizi ya silaha za maangamizi, zikiwemo ndege zisizo na rubani za mashambulizi, ambazo inadai zimekuwa zikilenga raia katika maeneo mbalimbali ya Mashariki mwa nchi hiyo. Serikali imesema mashambulizi hayo yamesababisha vifo vya watu takribani 100, kujeruhi maelfu na wengine zaidi 200,000 kuhama makazi yao katika…

Read More