TARURA Mkuranga Yaendelea na Ujenzi wa Barabara ya Vikindu–Sengetini Kuunganisha Pwani na Dar es Salaam
Na Miraji Msala, Mkuranga – Pwani Mhandisi Aidan Maliva kutoka Kampuni ya Ubaruku Construction Co. Ltd, alisema kazi hiyo inaendelea vizuri kwa kasi na kwa viwango vya juu, huku timu yake ikifanya kazi usiku na mchana kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati uliopangwa. Mradi huu unatekelezwa kwa ubora wa hali ya juu. Tulianza kazi tarehe 20…