Admin

Maandalizi ya upigaji kura Kigoma Kusini yakamilika

Uvinza. Wananchi 259,617 wa jimbo la Kigoma Kusini wanatarajia kupiga kura katika uchaguzi mkuu unatarajia kufanyika Oktoba 29, 2025,  huku maandalizi yakiwa yamekamilika kwa asilimia mia ikiwa ni pamoja na uwepo wa vifaa vya kupigia kura. Hayo yamesemwa leo Jumapili, Oktoba 26, 2025 na Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kigoma Kusini, Acland Kambili wakati akifungua…

Read More

Serikali ya Norway yatoa Sh6 bilioni kukuza kilimo cha soya nchini

Dar es Salaam. Ubalozi wa Norway nchini Tanzania na taasisi ya kuendeleza kilimo ya Private Agricultural Sector Support (PASS) Trust wamesaini makubaliano ya kutekeleza mradi wa kuongeza mnyororo wa thamani katika soya ili kuimarisha sekta ya kilimo kupitia ubunifu, fedha jumuishi na teknolojia rafiki kwa mazingira. Makubaliano hayo yaliyofikiwa mwishoni mwa wiki iliyopira ni uthibitisho…

Read More

KUJENGA IMANI ZAIDI YA KURA: Jinsi uandishi wa habari kwa kufuata maadili unavyounda mustakabali wa Tanzania tuitakayo

Tanzania ipo katika hatua muhimu sana ya kihistoria, inayokwenda kuunda mustakabali wa Taifa letu. Namna tunavyopitia kipindi hiki, ndivyo tutakavyojenga uimara wa msingi wa maendeleo yetu ya kitaifa katika awamu inayofuata. Chaguzi zinaweza kutugawa, hasa tunapokuwa katika mkondo wa ukuaji unaotia matumaini. Hata hivyo, ni wajibu wa kikatiba unaofanyika kila baada ya miaka mitano na…

Read More

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Hii ndio hatari ya Polisi kutotekeleza amri ya mahakama

Oktoba 23,2025, Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Bukoba, kupitia maombi maalumu (Habeas Corpus), ilitoa amri kwa Jeshi la Polisi kuwaachia huru au kuwafikisha kortini, watuhumiwa wa uhalifu wanaowashikilia kinyume cha sheria. Lakini badala ya kutekeleza amri hiyo ya mahakama, tumemsikia na kumuona Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Brasius Chatanda, akijitetea kuwa hawajapokea amri hiyo…

Read More