Admin

Ofisa ustawi wa jamii aliyegeukia uuzaji juisi

Dar es Salaam. Gharama za maisha zinapoongezeka, mara nyingi kila mtu huangalia namna ya kukabiliana nazo, ikiwamo kutafuta kipato cha ziada ili kupata uhuru wa kuishi. Hali hiyo huwafanya wengi kufikiria nje ya boksi na kuangalia kitu gani kinachoweza kufanyika kwa urahisi bila kuathiri shughuli zao za kila siku, na hapo ndipo kila mtu huja…

Read More

Donald Trump Akosolewa na Mshauri wake Kuhusu Vita na Iran

Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Mmoja wa washauri wa karibu wa Rais wa Marekani, David Sacks, amemkosoa hadharani Donald Trump kuhusu vita vinavyoendelea dhidi ya Iran, akionya kuwa mzozo huo unaweza kuongezeka na kusababisha hatari ya matumizi ya silaha za nyuklia. Sacks, ambaye ni mshauri wa Trump anayeshughulikia masuala ya akili bandia (AI)…

Read More

Sheria mpya za soka 2026 kupiga vita kupoteza muda

MABADILIKO ya sheria za soka ambazo kimsingi zitaanza kufanya kazi wakati wa Kombe la Dunia 2026 kabla ya kuhamia karika ligi mbalimbali, yamemuibua mkufunzi wa waamuzi nchini, Soud Abdi ambaye pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi Tanzania, akisema yataondoa tabia ya janjajanja ya kupoteza muda ambayo imekuwa ikiharibu ladha ya mchezo. Akizungumza kuhusu…

Read More

Fahamu Madhara ya Vyakula Vitamu Kupita Kiasi kwa Afya ya Figo

Watu wengi huamini kuwa kula vyakula vyenye sukari nyingi kunaweza kusababisha unene, kisukari na hata matatizo ya figo. Kulingana na wataalamu wa afya, jambo hili lina ukweli kwa sababu matumizi makubwa ya sukari yanaweza kuathiri afya ya figo kwa njia mbalimbali. Sukari Nyingi Inavyoathiri MwiliLishe yenye sukari nyingi mara nyingi husababisha unene kupita kiasi na…

Read More

Beki Yanga ampa mtihani Camara, wakongwe watia neno

KIPA raia wa Guinea, Moussa Camara, anakabiliwa na mtihani mzito unaomuweka njiapanda ya kuendelea kuitumikia Simba ambapo hivi sasa ameondolewa kwenye mfumo wa usajili na mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu. Kuondolewa kwa Camara katika mfumo wa usajili, kunatokana na majeraha ya goti aliyoyapata na kumuweka nje kwa muda mrefu hali iliyofanya dirisha dogo…

Read More