Admin

Venezuela inahitaji data zaidi ya ndani kuelewa athari za mabadiliko ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Alicia Villamizar anatoa matokeo ya ripoti ya pili ya kitaaluma juu ya mabadiliko ya hali ya hewa. Mikopo: Margaret López/IPS na Margaret López (Caracas) Jumatatu, Desemba 15, 2025 Huduma ya waandishi wa habari CARACAS, Desemba 15 (IPS) – Kundi la watafiti 55 walikusanyika na kuchambua marejeleo ya biblia 1,260 ya kukusanya ripoti ya pili ya…

Read More

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI SONGEA MKOA NI RUVUMA

………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Songea mkoani Ruvuma leo tarehe 15 Desemba 2025. Makamu wa Rais anatarajia kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Joakim Mhagama, yatakayofanyika katika Kijiji cha Ruanda mkoani Ruvuma tarehe 16 Desemba…

Read More

JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani. Na.Alex Sonna-KISARAWE Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameanza utekelezaji wa ahadi alizozitoa wakati wa…

Read More

DAVID KIHENZILE AIPONGEZA LATRA KWA MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA USAFIRI, AKITEMBELEA BANDARANI YA MAMLAKA HIYO

 ::::::::::  Naibu Waziri wa Uchukuzi,David Kihenzile (Mb), leo Desemba 15, 2025 ametembelea banda la Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) katika maonesho ya Mkutano wa 18 wa Tathmini ya Utendaji wa Sekta ya Uchukuzi, na kushuhudia shughuli za Udhibiti zinazo tekelezwa na LATRA. Akiwa katika banda la mamlaka hiyo, Mhe. Kihenzile ameipongeza LATRA kwa kazi…

Read More

Serikali yatangaza Mabadiliko Jeshi la Magereza

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amesema kuna haja ya kubadili Mfumo wa Magereza nchini ili kuendana na kasi ya dunia huku akigusia dhamira ya serikali kupitia baadhi ya sheria ambazo tumerithi kutoka kwa wakoloni na kuzifanyia mabadiliko ili kuweza kuboresha masuala ya utoaji haki katika vyombo mbalimbali vya haki…

Read More

Ajali zilivyokatisha maisha ya watu 2025

Dar es Salaam. Bado jinamizi la ajali za barabarani limeendelea kuikumba Tanzania mwaka 2025, likiacha majeraha yasiyofutika katika familia, jamii na kuzidi kuathiri uchumi wa Taifa pamoja na Kaya. Desemba 31, 2024 Rais Samia Suluhu Hassan akitoa salamu za mwaka mpya, alitoa maelekezo kwa Wizara ya Mambo ya Ndani na jeshi la Polisi kuongeza mikakati…

Read More

FAMILIA YA KICHWABUTA BUKOBA YAANZISHA UMOJA WA KUSAIDIANA KIUCHUMI NA KIELIMU

 ::::::::::::::: Na Mwandishi Wetu  Familia ya Kichwabuta kutoka Bukoba imeanzisha umoja wa kusaidiana kiuchumi, kielimu, na kulinda tamaduni wao.  Umoja huu unalenga kukabiliana na mmong’onyoko wa maadili unaosababishwa na teknolojia na mabadiliko ya . Akizungumza jana, Desemba 15,2025 jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Umoja wa Kichwabutwa, Creus Kyome, amesema umoja huo umefanikisha kukutanisha wanafamilia…

Read More

Ajali zaendelea kukatisha maisha | Mwananchi

Dar es Salaam. Bado jinamizi la ajali za barabarani limeendelea kuikumba Tanzania mwaka 2025, likiacha majeraha yasiyofutika katika familia, jamii na kuzidi kuathiri uchumi wa Taifa pamoja na Kaya. Desemba 31, 2024 Rais Samia Suluhu Hassan akitoa salamu za mwaka mpya, alitoa maelekezo kwa Wizara ya Mambo ya Ndani na jeshi la Polisi kuongeza mikakati…

Read More

Je! Viwango vya chini vya uzazi vitarudi katika kiwango cha uingizwaji wakati wowote hivi karibuni? – Maswala ya ulimwengu

Hivi sasa, zaidi ya nusu ya nchi zote na maeneo ulimwenguni yana kiwango cha uzazi chini ya kiwango cha uingizwaji wa watoto 2.1 kwa kila mwanamke. Mikopo: Shutterstock Maoni na Joseph Chamie (Portland, USA) Jumatatu, Desemba 15, 2025 Huduma ya waandishi wa habari PORTLAND, USA, Desemba 15 (IPS) – Je! Viwango vya chini vya uzazi…

Read More