TAWiFA KUWAKUTANISHA WANAWAKE SEKTA YA FEDHA JIJINI ARUSHA MACHI 23
Na Mwandishi Wetu LICHA ya wanawake kumiliki au kuendesha zaidi ya nusu ya biashara ndogo na za kati nchini, ushiriki wao katika nafasi za juu za maamuzi ndani ya taasisi za fedha bado uko chini ya asilimia 30, jambo linaloibua mjadala kuhusu usawa wa kijinsia katika sekta hiyo. Hoja hiyo inatarajiwa kujadiliwa na wadau wa…