
Simu ilivyofanya mapinduzi ujumuishi wa kifedha Tanzania
Fikiria hali ingekuwaje leo hii kama huduma za fedha kwa njia ya simu zisingekuwepo nchini. Bila shaka unaweza kuvuta picha namna ambavyo kungekuwa na foleni kubwa benki na maeneo mengi ya huduma. Pengine kungekuwa na matukio mengi ya uporaji kutokana na kukithiri kwa matumizi ya pesa taslimu. Suala la kupokea au kutuma fedha kwa ndugu…