MJUMBE MAALUM WA UN AIPONGEZA TANZANIA KWA KUREJESHA AMANI NA KUIMARISHA TAASISI ZA KIDEMOKRASIA
*****. Dar es Salaam, 9 Machi 2026 Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Bw. Parfait Onanga-Anyanga amewasili nchini kwa ziara akiwa kama Mjumbe Maalum wa Mhe. Antonio Guterres, Katibu Mkuu UN kwenye ziara ya kikazi…