Admin

Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 – Upinzani Kuliko Msukosuko – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Marco Longari/AFP Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumatatu, Machi 09, 2026 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Machi 9 (IPS) – Fikiria jinsi Siku ya Kimataifa ya Wanawake ilivyokuwa miaka michache iliyopita, na jinsi inavyoonekana sasa: tarehe hiyo hiyo, wakati uleule wa kimataifa wa kutafakari, lakini mandhari ya kimataifa iliyobadilika sana. Haki za…

Read More

WANAWAKE WA TRA MOROGORO WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Na FARIDA MANGUBE, MOROGORO Wanawake wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro wameungana na wanawake wengine kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa kila ifikapo Machi 8 kila mwaka huku wakisisitiza umuhimu wa wanawake kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii na taifa. Kwa Mkoa wa Morogoro maadhimisho hayo yamefanyika katika viwanja vya Shule ya…

Read More

Simba, Yanga zarudishwa tena Zanzibar, kukichafua Aprili 21

ZIKIWA zimepita siku chache baada ya Yanga na Simba kutoka kucheza mechi ya Ligi Kuu Bara iliyomalizika bila kufungana kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, timu hizo zimetajwa kati ya nane zinazotarajiwa kushiriki michuano ya Kombe la Muungano 2026. Kwa kutajwa huko, timu hizo zinatarajiwa kurejea tena Zanzibar kusaka heshima baada ya kushindwa kutambiana…

Read More

SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBUFU

…………… Na Saidi Lufune, Rukwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), amesema Serikali inaendelea kulinda maisha ya wananchi dhidi ya uvamizi wa wanyamapori wakali na waharibifu hususan Tembo na Mamba kwa wananchi wanaoishi maeneo yanayozunguuka Hifadhi  Mhe. Chande amebainisha hayo katika Halmashauri wa Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa wakati wa…

Read More

Maana mabadiliko ya ada za bandari

Dar es Salaam. Mjadala umeibuka miongoni mwa wadau wa sekta ya uchukuzi na wafanyabiashara kufuatia kutangazwa kwa ada mpya za mizigo ya ndani katika bandari nchini, huku baadhi wakidai zinaongeza gharama za biashara. Hata hivyo, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema hatua hiyo inalenga kuboresha miundombinu na kuongeza ufanisi wa huduma za bandari….

Read More

Majonzi mwili wa Naomi ukipatikana katika mazingira tata

Iringa. Majonzi mazito yametanda katika familia moja mjini Iringa baada ya kupatikana kwa mwili wa Naomi Kivamba (13) aliyekuwa akisoma darasa la saba Shule ya Msingi Njiapanda aliripotiwa kupotea ghafla nyumbani kwao kabla ya kupatikana akiwa amefariki dunia. Ndani ya nyumba ya familia hiyo kulikuwa na hali ya huzuni iliyochanganyika na mshangao, huku watu wakikusanyika…

Read More