Maana mabadiliko ya ada za bandari
Dar es Salaam. Mjadala umeibuka miongoni mwa wadau wa sekta ya uchukuzi na wafanyabiashara kufuatia kutangazwa kwa ada mpya za mizigo ya ndani katika bandari nchini, huku baadhi wakidai zinaongeza gharama za biashara. Hata hivyo, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema hatua hiyo inalenga kuboresha miundombinu na kuongeza ufanisi wa huduma za bandari….