Jumuiya ya Wazazi CCM, Arusha kuwakwamua kiuchumi waraibu wa dawa za kulevya
Arusha. Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imezindua mpango wa kuanzisha chuo cha mafunzo ya ufundi stadi (Veta) katika Mkoa wa Arusha kwa lengo la kuwasaidia vijana walioko hatarini kutokana na matumizi ya dawa za kulevya. Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea eneo lililotengwa kwa ajili ya mradi huo, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo,…