Admin

‘House girl’ kizimbani akituhumiwa kujaribu kuua kichanga

Mwanza. Mfanyakazi wa kazi za nyumbani, Faima Twaibu (19), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujaribu kumuua mtoto wake mchanga baada ya kujifungua. Faima, mkazi wa Bulyehele wilayani Ilemela, amefikishwa mahakamani leo Jumatatu Machi 9, 2026 mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Christian Mwalimu. Katika shauri hilo namba 5112/2026, mshtakiwa…

Read More

Serikali kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia, wasomi watahadharisha

Dar es Salaam. Wachambuzi wa siasa na diplomasia wameeleza kwamba, dhamira ya Serikali kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia inaweza kuwa na mchango katika kuimarisha umoja wa kitaifa ikiwa itazingatia misingi ya uwazi, ushirikishwaji na kuheshimu utawala wa sheria. Wachambuzi wameeleza hayo leo Machi 9, 2026 baada ya Tanzania kuthibitisha dhamira yake ya kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia…

Read More

Waziri Mkuu abaini dosari Nkasi, aagiza uchunguzi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amebaini viashiria vya ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa mabweni ya Shule ya Sekondari ya Chala, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa unaogharimu Sh310 milioni huku akiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuanza uchunguzi. Dk Mwigulu amehoji inakuaje mradi ambao bado haujaisha unapata nyufa na…

Read More

Kihongosi aonya viongozi wanaodhulumu wananchi

Itilima. Mwananchi wa Kijiji cha Lagangabilili wilayani Itilima, mkoani Simiyu, Mzee Majija Madata amewasilisha malalamiko kwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akidai kudhulumiwa shamba lake na mmoja wa viongozi wa CCM katika ngazi ya wilaya mkoani Shinyanga. Kihongosi yupo mkoani Simiyu tangu Machi 7, 2026 kwa ziara…

Read More

DTB yawapongeza wafanyakazi wanawake kwa mchango wao

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani 2026 yenye kauli mbiu ya “Give to Gain”, Diamond Trust Bank Tanzania (DTB) imetoa zawadi maalum kwa wafanyakazi wake wanawake kama ishara ya kutambua mchango wao muhimu katika mafanikio ya taasisi hiyo ya kifedha. Hatua hiyo inalenga kuhamasisha usawa wa kijinsia na kuendelea kujenga mazingira jumuishi…

Read More

Prisons v Yanga kupigwa Ali Hassan Mwinyi Tabora

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa Sokoine kwa kukosa sifa ya kuchezewa mechi za mashindano yaliyo chini ya shirikisho hilo, Tanzania Prisons imehamishia mechi yake dhidi ya Yanga mkoani Tabora kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Sokoine umefungiwa jana Machi 8, 2026 ikiwa ni muda mfupi baada ya mechi…

Read More