
MAAFISA MIPANGOMIJI WAFUNDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga kutekeleza majukumu yao kwa weledi. Kikao hicho cha siku tatu kinachofanyika mkoani Arusha kuanzia Sept…