Admin

Huyu ndiye Mojtaba Khamenei, Kiongozi mpya wa Iran

Dar es Salaam. Kifo cha kiongozi mkuu wa Iran, Ali Khamenei, kilichotokea Februari 28, 2026, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, kinaashiria moja ya mabadiliko makubwa zaidi katika historia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mrithi wake, mwanaye, Mojtaba Khamenei, anawakilisha kwa wakati mmoja mwendelezo na pia mkanganyiko ndani ya mfumo wa mapinduzi ulioanzishwa baada…

Read More

Wabunge Chato, madiwani wanne wafikishwa kortini tuhuma za rushwa

Chato. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani wabunge wawili wa Chato, Pascal Lutandula (Chato Kusini), Cornel Magembe wa (Chato Kaskazini) na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato, Bathoromeo Manunga wakituhumiwa kwa rushwa wakati wa mchakato wa kumpata mwenyekiti wa halmashauri hiyo. Mbali nao, wengine ni…

Read More

Shule Ya Msingi Kiromo Yakarabatiwa Kwa Ufadhili Wa Airtel

Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, ametembelea Shule ya Msingi Kiromo kukagua maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na kampuni hiyo, wenye lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi na walimu. Katika ziara hiyo, viongozi wa Airtel walipata taarifa ya hatua za ukarabati wa miundombinu ya…

Read More

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel, Kamoto Afanya Ziara ya Mradi wa Ukarabati Shule ya Msingi Kiromo

MKURUGENZI Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, pamoja na viongozi wengine wa kampuni, hivi karibuni walifanya ziara katika Shule ya Msingi Kiromo ili kuangalia maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na Airtel Tanzania. Mradi huu unaonyesha dhamira ya Airtel katika kuboresha mazingira ya kujifunzia na kusaidia elimu katika jamii wanazofanyia kazi. Wakati wa ziara, timu…

Read More