Admin

Teknolojia ya tiba mwanga inayopambana na magonjwa sugu

Dar es Salaam. Tiba mpya inayotumia mwanga maalumu inayojulikana kama phototherapy imeanza kuibua matumaini mapya kwa wagonjwa wa magonjwa sugu, ikiwamo kisukari, shinikizo la damu na matatizo ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, phototherapy ni aina ya matibabu yanayotumia mawimbi maalumu ya mwanga kuchochea mwili kuanza mchakato wa kujirekebisha na kupona. Teknolojia hii…

Read More

Fei Toto awaibua wakongwe Ligi Kuu Bara

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kupisha Kombe la Shirikisho la CRDB (FA),  Feisal Salum ‘Fei Toto’ ndiye kinara anayehusika kwenye mabao hadi sasa akikaribiwa na mshambuliaji wa Yanga, Prince Dube, huku wachezaji wa zamani wakimpa maua yake. Kwenye chati ya ufungaji Fabrice Ngoy wa Namungo ndiye anaongoza kwa kufunga mengi akiwa nayo nane mbele…

Read More

UNDP, UINGEREZA WATOA ZAIDI YA TSH MILIONI 70 KUIMARISHA BIASHARA BUNIFU ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA

Mpango huo unatekelezwa na UNDP kupitia Mradi wa FUNGUO kwa ushirikiano na Serikali ya Uingereza kupitia FCDO. Ushirikiano huo unalenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini kwa kuwaunganisha wanafunzi na ushauri elekezi, fursa za ufadhili pamoja na mazingira yatakayosaidia mawazo yao kukua na kuwa biashara endelevu. Kabla ya kutangazwa kwa washindi, timu za wanafunzi zilipata mafunzo…

Read More

Kihongosi aonya viongozi wa CCM wanaodhulumu wananchi

Itilima. Mwananchi wa Kijiji cha Lagangabilili wilayani Itilima, mkoani Simiyu, Mzee Majija Madata amewasilisha malalamiko kwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akidai kudhulumiwa shamba lake na mmoja wa viongozi wa CCM katika ngazi ya wilaya mkoani Shinyanga. Kihongosi yupo mkoani Simiyu tangu Machi 7, 2026 kwa ziara…

Read More