Msuva alitoa zawadi bao lake kwa Iran, awatoa hofu Watanzania
WINGA wa Tanzania, Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ameendelea kuonyesha kiwango bora katika Ligi Kuu ya Iraq baada ya kufunga bao muhimu na kisha kulitoa zawadi kwa taifa la Iran huku akiomba hali ya amani irejee katika eneo hilo. Msuva alifunga bao hilo katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Al Qassim kwenye mechi ya…