Admin

Serikali yakata mishahara ya wabunge kutuliza waandamanaji

Jakarta. Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, ametangaza kupunguza mishahara na baadhi ya marupurupu kwa wanasiasa wa taifa hilo, ikiwemo wabunge, ili kutuliza maandamano yanayoendelea nchini humo. Hatua hiyo inakuja kutokana na maandamano ya wiki kadhaa katika taifa hilo la Kusini-Mashariki mwa Asia, ukiwemo mji mkuu, Jakarta, ulioshuhudia mamia ya waandamanaji wanaoipinga serikali. Maandamano hayo yamesababisha…

Read More

Ahadi ya Mwendokasi Mbagala yakwama tena, sababu zatajwa

Dar es Salaam. Huduma ya mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza leo Jumatatu Septemba mosi, 2025, imesogezwa mbele kutokana na kutokamilika kwa miundombinu muhimu yakiwamo mageti janja na kituo cha kujazia gesi. Akizungumza leo Jumatatu, Septemba mosi 2025 na Mwananchi, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart),…

Read More

JKT Queens kamili kwenda kuliamsha  CECAFA

KIKOSI cha wachezaji 26 wa JKT Queens sambamba na benchi la ufundi na viongozi wengine 23 kinatarajia kuondoka nchini leo Jumatatu, Septemba Mosi, 2025, kwenda Nairobi, Kenya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake Kanda ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Safari hiyo itaanzia Moshi, Kilimanjaro ilipokuwa kambi ya timu hiyo tangu Agosti 9, 2025,…

Read More

DUA MAALUM KWA TAIFA ,RAIS SAMIA YAFANA DAR

Anaripoti Rashid Mtagaluka Tukio la Dua ya kuiombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassan lililofanyika leo Agosti 31,2025 katika ukumbi wa DRIMP, Ilala Boma, ni kielelezo cha namna Watanzania wanavyotambua dhamana kubwa aliyoibeba Rais katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Dua hiyo iliyoongozwa na Sheikh Adam Mwinyipingu wa BAKWATA Ilala, imekusanya makundi mbalimbali…

Read More