WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA JENGO LA HUDUMA (WING B) HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA KATAVI
▪︎ Aagiza mradi ukamilike kwa wakati na ubora, asisitiza malipo kwa wafanyakazi wa mradi yafanyike kwa wakati ▪︎Awapongeza watumishi wa afya kwa weledi WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mradi wa ujenzi wa jengo la huduma (Wing B) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi lazima ukamilike kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Akizungumza…