Mzimu wa ajali waliibua kanisa Katoliki Same
Same. Askofu wa Jimbo Katoliki Same, Rogatius Kimaryo amewaongoza waumini wa kanisa hilo katika ibada maalumu kuombea barabara kuu ya Dar es Salaam–Same–Mwanga–Arusha, kutokana na uwepo wa ajali zinazogharimu maisha ya watu. Mbali ya ibada hiyo, kanisa limeweka wakfu eneo maalumu katika Kata ya Njoro, kutakakojengwa Groto ya Bikira Maria kwa ajili ya sala na…