Admin

WAKAGUZI WA NDANI KUTOKA TAASISI MALIMBALI ZA UMMA WAPIGWA MSASA MKOANI MOROGORO

Na. Joseph Mahumi Wakaguzi wa Ndani wa Serikali wameaswa kutazamia upya athari za mabadiliko ya kimazingira pindi wanapofanya ukaguzi katika masuala ya Mazingira, Kijamii na Utawala Bora (Environmental, Social, and Governance-ESG) na Ukaguzi wa Thamani ya Fedha (Value for Money-VFM) kwenye Miradi ya Maendeleo, ili kuboresha ufanisi na ustawi endelevu wa miradi ya maendeleo katika…

Read More

Wamiliki wa magari watakiwa kuwasikiliza madereva kudhibiti ajali

Geita. Wamiliki wa magari yanayosafirisha abiria nchini, wametakiwa kufuata ushauri wa madereva badala ya kuwaingilia kwa kuwapangia ratiba ngumu za safari hali inayochangia ongezeko la ajali. Baadhi ya wamiliki wa magari hayo wamekuwa wakiwapangia madereva muda na idadi ya safari na fedha pasipo kufanya matengenezo ya vyombo vyao, hivyo kuhatarisha usalama wa abiri ambapo amewataka…

Read More

TTB YAZINDUA KAMPENI YA FUNGA MWAKA KIJANJA-TALII (SEASON TWO)

Na  Mwandishi Wetu,Arusha  BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imezindua rasmi kampeni ya msimu wa sikukuu “ Funga mwaka kijanja Talii ( season two)”  ikiwa ni mwendelezo wa jitihada za Serikali kuhamasisha utalii wa ndani na kuongeza ushiriki wa Watanzania katika kutembelea vivutio vya taifa lao, hususan kipindi cha mwisho wa mwaka. Uzinduzi wa kampeni hiyo…

Read More

Tanzania kuendeleza ukarabati na kujenga meli mpya

Arusha. Tanzania imeanza kuchukua hatua madhubuti za kuchangamkia uchumi wa bluu kwa mpango wa kukarabati meli zote zilizokwama nchini, pamoja na kujenga meli mbili mpya kubwa za mizigo, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza mchango wa sekta ya usafirishaji wa majini katika kukuza uchumi wa taifa na kufikia lengo la uchumi wa shilingi trilioni…

Read More

Chukua Mshiko Wako na Meridianbet Leo

NI siku nyingine ya kujishindia mkwanja na Meridianbet ambapo timu kibao zipo uwanjani kuhakikisha huondoki mikono mitupu. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Unangoja nini sasa?. Suka jamvi lako la ushindi leo. Tukianza na ligi kuu ya Uingereza, EPL kuna mechi ya kibabe kati ya Manchester United vs AFC Bournemouth ambapo mara…

Read More

Vifo vya wajawazito, watoto vyapungua Maswa

Maswa. Vifo vya wajawazito katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa vimepungua kwa kiasi kikubwa kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo, kutoka vifo vinane hadi viwili, hatua inayotajwa kuwa mafanikio ya uwekezaji katika sekta ya afya. Kupungua huko kunatajwa kuchangiwa na kuimarika kwa huduma za afya, ikiwemo upatikanaji wa huduma za upasuaji wa dharura, ujenzi wa…

Read More