Admin

Mzimu wa ajali waliibua kanisa Katoliki Same

Same. Askofu wa Jimbo Katoliki Same, Rogatius Kimaryo amewaongoza waumini wa kanisa hilo katika ibada maalumu kuombea barabara kuu ya Dar es Salaam–Same–Mwanga–Arusha, kutokana na uwepo wa ajali zinazogharimu maisha ya watu. Mbali ya ibada hiyo, kanisa limeweka wakfu eneo maalumu katika Kata ya Njoro, kutakakojengwa Groto ya Bikira Maria kwa ajili ya sala na…

Read More

Yanga yashusha makocha wapya watatu kwa mpigo

SAA chache baada ya Rais wa Klabu ya Yanga kuthibitisha kuwa usiku huu wanatangaza kocha mkuu wa klabu hiyo, Mwanaspoti limenasa jina lake. Yanga tayari imemalizana na makocha watatu ambao muda wowote kuanzia sasa watatambulishwa ndani ya timu hiyo ambao ni kocha mkuu, kocha msaidizi na kocha wa makipa. Mwanaspoti limenasa majina ya makocha hao…

Read More

Chaumma yaahidi kuharakisha bandari ya Bagamoyo kuinua uchumi

Bagamoyo. Mgombea mwenza wa urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amefanya mkutano wa hadhara katika soko la Magomeni, Bagamoyo, mkoani Pwani akiahidi kufufua mradi wa Bandari ya Bagamoyo uliokwama kwa miaka mingi. Akihutubia wananchi waliokusanyika kusikiliza sera za chama hicho, mgombea mwenza huyo amesema kuwa bandari hiyo ni injini…

Read More

Wenje amesema kuhamia CCM hakumpotezei sifa

Bunda. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ezekiah Wenje, amewataka wananchi kuondoa dhana kwamba mtu anapohama kutoka vyama vya upinzani, hususan Chadema, na kujiunga na CCM, anapoteza sifa zote nzuri alizokuwa nazo kabla ya kuhama. Wenje ameyasema hayo mjini Bunda leo Oktoba 2025, wakati wa kufunga kampeni za CCM, ambapo pamoja na mambo mengine, ametumia…

Read More

Ongezeko la udokozi kwa wanaweke ni zaidi ya uhalifu

Dar es Salaam. Tukio la mwanamke kunaswa kwenye video akimpiga mwenzake eneo la Kariakoo limeibua mjadala kuhusu mwenendo wa baadhi yao kujihusisha na matukio ya ukatili na udokozi. Tayari Jeshi la Polisi limesema limemtambua mtuhumiwa na linaendelea na hatua za kisheria. Katika taarifa ya Oktoba 22, 2025 ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime,…

Read More

Chadema yaeleza Heche anashikiliwa Dodoma, ahojiwa na Uhamiaji

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai Makamu Mwenyekiti Taifa wa chama hicho, John Heche anashikiliwa katika mahabusu ya Jeshi la Polisi Mtumba, jijini Dodoma. Chadema katika taarifa kwa umma iliyotolewa jana ljumaa, Oktoba 24, 2025 kimesema Heche anashikiliwa na polisi katika mahabusu hiyo, lakini hakuna mamlaka ya jeshi hilo iliyozungumzia taarifa…

Read More

TARURA Rufiji Yaimarisha Miundombinu kwa Miradi ya Bilioni 25

Na Miraji Msala-Rufiji Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, Nicolas Ludigery, amesema miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja inayotekelezwa wilayani humo inaendelea vizuri, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuboresha miundombinu ya usafiri na kuinua shughuli za kiuchumi kwa wananchi. Akizungumza wakati wa…

Read More