Dkt. Mwigulu Aagiza Takukuru Kuchunguza Fedha Za Miradi Rukwa
Global Publishers March 9, 2026 0 Comments WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo katika baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Rukwa kufuatia taarifa za kuchelewa kwa utekelezaji wa miradi hiyo. Ametoa agizo hilo Jumapili (Machi…