EWURA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
MWEYEKITI wa Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya Tanzania (TUGHE) Tawi la EWURA, Herieth Kasilima, akiwaongoza baadhi ya Wafanyakazi Wanawake wa EWURA waliojitokeza katika maadhimisho ya kilele cha Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika ngazi ya Mkoa wilayani Kongwa ,mkoani Dodoma leo Machi 8,2026 wakipita mbele ya mgeni rasmi wa maadhimisho…