
DKT NCHIMBI AITEKA RORYA | WANANCHI WATHIBITISHA KUTIKI OKTOBA 29 KWA KISHINDO
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi leo Agosti 31, 2025 amewahutubia Wananchi wa Rorya waliofurika katika uwanja wa Ubwere, ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake ya Kampeni kwenye mikoa ya kanda ya ziwa. Balozi Dkt.Nchimbi ambae ni Mgombea Mwenza wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan,…