Admin

Wanawake FCC watakiwa kujenga Mshikamano na Umoja

Na Mwandishi Wetu Wanawake wa Tume ya Ushindani (FCC ) wametakiwa kuwa na  upendo ambao utajenga mshikamano na kuleta ufanisi katika Taasisi. Hayo ameyasema Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Bi. Magdarena Utouh katika  Maadhimisho  ya Siku ya  Wanawake Duniani ambayo hufanyika kila Machi 8 ya kila mwaka. Magdelena amesema maadhimisho ya Siku ya…

Read More

Mbunge aeleza chanzo cha ajali yake msafara wa PM

Moshi. Mbunge wa Moshi Mjini (CCM), Ibrahim Shayo amesema ajali aliyopata Februari 18, 2026 haikuhusisha mkono wa mtu kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidai. Shayo amesema chanzo cha ajali hiyo ni kupasuka kwa tairi la mbele la gari walilokuwa wakisafiria, hali iliyosababisha dereva kushindwa kulimudu kutokana na gari hilo kuwa katika mwendo mkali. Ameyasema…

Read More

Sichone aanza kufunga UAE | Mwanaspoti

WINGA Mbongo Morice Sichone anayeitumikia Gulf FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili ya Falme za Kiarabu ameanza vizuri akifunga mabao mawili licha ya hali ya taharuki inayosababishwa na machafuko ya vita yanayoendelea katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya Kati. Nyota huyo alijiunga na Gulf akitokea Trident FC ya Zambia alipocheza mechi 18 akifunga mabao…

Read More

Twiga Stars kurejea leo | Mwanaspoti

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Twiga Stars, kinarejea leo kutokea Falme za Kiarabu kilipokita kambi kwa ajili ya kujiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026. Twiga Stars ilikuwa UAE ikishiriki mashindano ya kujipima nguvu ya Pink Ladies Cup ambayo yalikuwa ni maandalizi ya WAFCON 2026 yaliyotarajiwa kuanza…

Read More

Said anaandika rekodi zake Malaysia

MSHAMBULIAJI Said Hamis Said Jr anayekipiga Imigresen, anaendelea kuonyesha makali yake katika Ligi Kuu ya Malaysia baada ya kuwa miongoni mwa wachezaji wanaoibeba timu hiyo. Said Jr amekuwa na msimu bora na tayari amecheza mechi 21 za ligi akifunga mabao 16 na kutoa asisti nne, takwimu zinazoonyesha mchango wake mkubwa katika kikosi hicho. Mabao hayo…

Read More

Mwalimu Lihepanyama, mkemia anayekuza sayansi Sekondari Pugu

Dar es Salaam. Katika mazingira ya kihistoria ya Shule ya Sekondari Pugu Boys, jina la Mwalimu Venancia Lihepanyama (57) limeendelea kutajwa kama sehemu ya hadithi ya mafanikio ya mamia ya wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo ya sayansi. Wengi wa wanafunzi hao leo ni madaktari, watafiti, wahandisi, walimu na wataalamu wa kada mbalimbali waliopata msingi…

Read More