Admin

Samatta, Gomes waitwa Taifa Stars

NAHODHA na nyota wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga, Le Havre ya Ufaransa, Mbwana Samatta na mshambuliaji mpya wa Simba, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ni miongoni mwa wachezaji waliotwa katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kilichotangazwa rasmi leo Jumapili. Kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amekitaja kikosi hicho kwa ajili ya kambi ya…

Read More

HUSTLERS WAUNGANA UZINDUZI CHROME GIN KWA SGANGWE LA KIPEKEE

 :::::::::  Dar es Salaam ilishuhudia usiku wa burudani na sherehe zisizosahaulika pale Tanganyika Packers – Kawe, wakati wa uzinduzi wa Chrome Gin, kinywaji kipya kinacholenga kusherehekea hustlers wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza, hustlers kutoka maeneo mbalimbali ya jiji waliunganishwa pamoja – kuanzia Manzese, Kariakoo hadi Kinondoni – wote wakija kusherehekea ushindi wao, mdogo au…

Read More

Mpango kuinua kikapu vijana wazinduliwa

MPANGO maalumu wa kuwawezesha vijana kujifunza mchezo wa kikapu umezinduliwa wikiendi kwa ushirikiano baina ya Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Vodacom Tanzania sambamba na Shirika la Salesian of Donbosco Kanda ya Tanzania. Uzinduzi huo umefanyika kwenye viwanja vya Donbosco Oysterbay, jijini Dar es Salaam ukishuhudiwa na viongozi wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa…

Read More

Kitambi aibukia Fountain Gate kumrithi Mnigeria

FOUNTAIN Gate katika kuboresha kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026, imemchukua Denis Kitambi kuwa kocha mkuu. Kitambi aliyewahi kufundisha timu mbalimbali za Ligi Kuu ikiwemo Simba, Namungo, Geita Gold na Singida Black Stars, anachukua nafasi ya Mnigeria, Ortega Deniran. Taarifa za uhakika kutoka ndani ya kambi ya Fountain Gate, zinasema uamuzi wa kumchukua Kitambi umekuja…

Read More

Tido akumbuka rekodi ya Bayi, akitaja riadha ilivyoibeba nchi

Mwandishi wa habari nguli, Tido Mhando ameeleza kumbukumbu ya miaka 52 ya nguli wa riadha, Filbert Bayi akibainisha namna alivyoibeba nchi enzi zake. Tido amebainisha hayo jana Agosti 30, katika mahafali ya Shule ya Msingi na Sekondari za Filbert Bayi, yaliyofanyika kwenye ‘Campus’ ya Kibaha. Tido aliyekuwa mgeni rasmi,  alishuhudia utoaji wa tuzo mbalimbali za…

Read More

Wakati upi sahihi mzazi ‘kuingilia’ ndoa ya mwanawe?

Ndoa, kwa mtazamo wa kitamaduni na kidini, mara nyingi huonekana kama muungano wa watu wawili waliovuka mipaka ya familia walizotoka.Mara mtoto anapooa au kuolewa, inakubalika kuwa rasmi anaingia katika makubaliano yanayomtenganisha na wazazi wake na kumuunganisha na mtu mwingine anayewajibika kwake.Hili linatokana na imani kwamba ndoa ni taasisi huru ambapo wazazi hawapaswi kuingilia maamuzi ya…

Read More

CUF kuanza na rasimu ya Warioba, Katiba Inayopendekezwa

Moshi. Mchakato wa kuandika Katiba mpya unaonekana kuwa moja ya turufu katika uchaguzi mkuu 2025 huku Chama cha Wananchi (CUF), kikiahidi kuanza na rasimu ya Jaji Joseph Warioba na Katiba Inayopendekezwa. Karibu vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi huo utakaofanyika Oktoba 29,2025, vimetoa ilani ya maandishi, suala la kufufua mchakato wa Katiba mpya ni moja…

Read More

NI SAMIA CHEMBA…AAHIDI MAKUBWA SEKTA YA KILIMO,SERIKALI KUNUNUA MATREKTA MILIONI 10 KATIKA MIAKA MITANO IJAYO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Chemba WAKULIMA sasa ni neema tele kwao! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dk.Samia Suluhu Hassan kuahidi kufanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo ikiwemo mpango wa kununua matrekta Milioni 10 katika miaka mitano ijayo ili kuwawezesha wakulima kukodisha trekta kwa nusu bei ya ile inayokodishwa…

Read More

Jiji la Arusha kuanzisha Mahakama maalumu ya kodi

Arusha. Halmashauri ya Jiji la Arusha imepanga kuanzisha Mahakama Maalumu ya Jiji, itakayoshughulikia kesi za walipa kodi na ushuru wanaokwepa au kukwamisha ukusanyaji wa mapato, ili kuharakisha uendeshaji wa mashauri na kuongeza ufanisi wa mapato ya ndani. Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, John Kayombo, amesema hayo jana Jumamosi, Agosti 30, 2025, katika hafla ya kuwapongeza…

Read More