
Samatta, Gomes waitwa Taifa Stars
NAHODHA na nyota wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga, Le Havre ya Ufaransa, Mbwana Samatta na mshambuliaji mpya wa Simba, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ni miongoni mwa wachezaji waliotwa katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kilichotangazwa rasmi leo Jumapili. Kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amekitaja kikosi hicho kwa ajili ya kambi ya…