Admin

Kina Mayele wamtibulia aliyeikacha Yanga

USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata Pyramids dhidi ya Al Ahly, umetibua mambo katika klabu hiyo mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa moto unawaka huku anayesakwa ni aliyeikataa Yanga. Ni hivi. Kocha wa Al Ahly, Jose Riveiro amekalia kuti kavu ligi kuu ya Misri, akihesabu siku baada ya kuanza vibaya akiwa na…

Read More

Dk Nchimbi aahidi neema Tarime, makundi ya ubunge yavunjwa

Tarime.  Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi mambo mbalimbali wananchi wa Nyamongo, Wilaya ya Tarime, viongozi wa chama hicho wamevunja makundi yaliyotokana na ubunge wa Tarime Vijijini. Dk Nchimbi amesema Serikali ya CCM Itatekeleza ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika vipande vinne na kupanua zaidi…

Read More

Jacob Massawe awatolea uvivu mawakala

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Jaccob Massawe amesema mawakala wanapaswa kuacha tamaa na kuangalia malengo ya wachezaji wadogo akitolea mfano ishu ya Clement Mzize. Mkongwe huyo anayeitumikia Namungo kwa msimu wa tano sasa tangu ajiunge nayo msimu wa 2020/21 akitokea Gwambina. Akizungumza na Mwanaspoti, Massawe mwenye uwezo wa kucheza kama winga amesema mawakala wengi wanakwamisha viwango…

Read More

Waganda waja kivingine mbio za magari Afrika

UJUMBE mzito wa madereva na mashabiki wa mbio za magari kutoka Uganda unatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kusherehesha mashindano ya magari ubingwa wa Afrika yatakayochezwa nchini  Septemba 19, 20 na 21 mkoani Morogoro. Waganda wanakuja Morogoro wakiwa na mabingwa watarajiwa, Mtanzania Yassin Nasser ambaye ni dereva na Mganda Ally Katumba, ambaye ni msoma…

Read More

TUONGEE KIUME: Mwanamume anatetea na kubadili maisha ya watu

Wiki kadhaa zilizopita nilikuwa barabarani naendesha gari. Mara nikafika sehemu yenye barabara nyembamba. Mbele yangu upande wa kulia kuna gari inakuja, na upande wa kushoto kuna mkokoteni unakwenda ninapoelekea. Ikabidi nisimame kusubiri mwenye mkokoteni asogee mbele ili niweze kupita vizuri kwa usalama. Lakini ghafla nikasikia, pipiiiiii!!! Honi kibao. Kuangalia nyuma naona ni bodaboda mwenye haraka…

Read More

Ahadi za Samia kwa wananchi wa Chamwino

Chamwino. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kumaliza changamoto zote za huduma za kijamii katika Jimbo la Chamwino kwa kile alichoeleza kuwa “Jimbo la Rais halitakiwi kuwa na changamoto zozote.” Samia ametoa ahadi hizo leo Jumapili, Agosti 31, 2025, Chamwino mkoani Dodoma, ikiwa ni kituo chake cha kwanza cha kampeni…

Read More