Ongezeko la udokozi kwa wanaweke ni zaidi ya uhalifu
Dar es Salaam. Tukio la mwanamke kunaswa kwenye video akimpiga mwenzake eneo la Kariakoo limeibua mjadala kuhusu mwenendo wa baadhi yao kujihusisha na matukio ya ukatili na udokozi. Tayari Jeshi la Polisi limesema limemtambua mtuhumiwa na linaendelea na hatua za kisheria. Katika taarifa ya Oktoba 22, 2025 ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime,…