Admin

Vifo vya wajawazito, watoto vyapungua Maswa

Maswa. Vifo vya wajawazito katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa vimepungua kwa kiasi kikubwa kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo, kutoka vifo vinane hadi viwili, hatua inayotajwa kuwa mafanikio ya uwekezaji katika sekta ya afya. Kupungua huko kunatajwa kuchangiwa na kuimarika kwa huduma za afya, ikiwemo upatikanaji wa huduma za upasuaji wa dharura, ujenzi wa…

Read More

NAIBU WAZIRI KIHENZILE AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 amefungua rasmi Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji unaofanyika katika Ukumbi wa AICC jijini Arusha. Akizungumza wakati wa ufunguzi, Mhe. Kihenzile alisema kaulimbiu ya mkutano huo isemayo “Integrated Transport System as a Foundation for Economic Transformation Toward Vision 2050” inaonesha…

Read More

Bibi kizimbani, akidaiwa kusafirisha bangi

Dar es Salaam. Mkazi wa Mbezi Msigani, Salma Said (60), maarufu Nangwe amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka la kusafirisha gramu tatu za dawa za kulevya aina ya bangi. Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu Desemba 15, 2025 na kusomewa kesi ya jinai na wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling’i. Mbiling’i amedai mbele…

Read More

Bibi kizimbani, akidaiwa kusafirisha gramu tatu za bangi

Dar es Salaam. Mkazi wa Mbezi Msigani, Salma Said (60), maarufu Nangwe amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka la kusafirisha gramu tatu za dawa za kulevya aina ya bangi. Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu Desemba 15, 2025 na kusomewa kesi ya jinai na wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling’i. Mbiling’i amedai mbele…

Read More

Azam FC yatua kwa Mkongomani

WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa rasmi Januari Mosi, 2026, uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kuipata saini ya beki wa kulia wa AS Vita Club, Mkongomani Henoc Lolendo Masanga, ili kuongeza ushindani wa nafasi. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kupata saini ya beki huyo mwenye miaka 21,…

Read More

Noela avunja mkataba, sasa kutimkia Lithuania

BEKI kisiki wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Noela Luhala amevunja mkataba na klabu ya 1207 Antalya Spor ya Uturuki kwa makubaliano ya pande mbili na kwa sasa anajiandaa kutimkia Lithuania katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya baridi. Noela ambaye alitua Uturuki Septemba mwaka huu, amefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na…

Read More

Meridianbet Holiday Drops, Msimu Wa Zawadi Kwako Mbashiri

HOLIDAY Drops – Christmas Edition ni tukio la kipekee linalokuja na zawadi za papo hapo, likikuletea msimu wa furaha, mshangao na ushindi usiokuwa na kipimo. Kuanzia 01 Desemba 2025 hadi 08 Januari 2026, kila mchezaji ana nafasi ya kufungua zawadi za Christmas kila alipoingia kwenye michezo iliyoteuliwa, ni ushindi wa haraka, ghafla na usiosubirishwa. Holiday…

Read More

Beki Mzenji aziingiza nne vitani

WAKATI beki wa kati wa Coastal Union, Haroub Mohamed, akibakisha miezi sita katika mkataba wake na kikosi hicho cha jijini Tanga, tayari timu mbalimbali zimeanza kuiwinda saini yake zikiwamo za KMC, TRA United na maafande wa JKT Tanzania na Mashujaa. Mtu wa karibu na nyota huyo aliliambia Mwanaspoti, licha ya ofa mbalimbali za kuhitajika, uongozi…

Read More