
Jela miaka 20 kwa kukata nyaya za Tanesco, kulipa Sh273 milioni.
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu wafanyabiashara wawili, Ally Kibope (25 ) na Athuman Omary (40) kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja, baada ya kupatikana na hatia ya kuingilia Miundombinu ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na kulisababishia hasara shirika hilo ya Sh273 milioni. Mbali na adhabu hiyo, mahakama hiyo imeamuru…