Admin

Aliyeua mke akidai kusemwa vibaya mtaani, kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Mtwara imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Issa Kaunda baada ya kumtia hatiani kwa mauaji ya mkewe, Elimina Severine. Mahakama ilielezwa alimchoma visu mwilini akidai mkewe alikuwa akimzungumzia vibaya mtaani. Katika maelezo ya onyo ya mshtakiwa na maelezo ya ziada inadaiwa baada ya kumuua mkewe kutokana na hasira alikimbilia porini…

Read More

‘Usikose kwenda haja kubwa kila siku’

Dodoma. Ninapata nafasi ya kusimama na kutoa pesa kwenye madirisha ya kutolea pesa kwenye benki (ATM) na maduka ya kutolea pesa. Nikiwa maeneo hayo,  ninaona maneno yasemayo:  Hakiki pesa zako kabla hujatoka mbele ya dirisha la kupokelea pesa.  Hii  ikanifanya nifikiri kumbe ni maneno muhimu. Ni sawa na kusema hakikisha unakagua dawa zako kabla ya…

Read More

Wengi tunaugua maradhi ya kujitakia

Dar es Salaam. Dunia ya sasa inakumbwa na changamoto kubwa ya maradhi yasiyoambukiza, kama vile kisukari, shinikizo la damu, saratani, na magonjwa ya moyo.  Tofauti na magonjwa ya kuambukiza ambayo mara nyingi hutokana na vijidudu, vimelea au maambukizi ya moja kwa moja, magonjwa haya mengi kwa kiasi kikubwa yanatokana na mtindo wa maisha usio sahihi….

Read More

Hii hapa afya ya pingili za mgongo

Russia. Pingili za mgongo ni mifupa muhimu katika usaidizi wa muundo na shughuli za mwili.  Huunda safu ambayo hutumika kama mhimili wa kati wa mwili na kutoa usaidizi kwenye kichwa, shingo na kiwiliwili. Mpangilio wake huruhusu kupinda na kujipinda kupitia diski za katikati na maungio yake. Mfereji wa pingili hulinda uti wa mgongo na mishipa ya fahamu inayojichomoza…

Read More

Nyongeza ya pensheni inaposababisha kizungumkuti kwa wastaafu

Mstaafu wetu anadhani kuwa litakuwa jambo jema kwa Seri-kali na mifuko inayohusika kuliweka sawa hili la nyongeza ya pensheni ya wastaafu waliokuwa wakipata mshahara wa kima cha chini. Maana sasa linaishia kuwapa wastaafu kimuhemuhe, kama siyo kuwabananga na kuwabagaza. Tukumbuke kuwa miezi 11 iliyopita, Oktoba mwaka jana, Seri-kali hatimaye iliamua kuwapa wastaafu wa kima cha…

Read More

Bado Watatu – 19 | Mwanaspoti

“NITAKWENDA.”“Basi nitakuja twende sote.”“Sawa. Nitakusubiri.” Saa nane mchana Raisa akaja nyumbani. Nikakaa naye hadi saa tisa tulipoondoka kwenda Hospitali ya Bombo iliyoko eneo la Raskazoni pembezoni mwa Bahari ya Hindi.Ukiwa hospitalini hapo unaweza kuiona bahari na bandari ya Tanga. Tulipofika hospitalini hapo, muda wa kutazama wagonjwa ulikuwa umewadia. Tukaingia ndani na kufika katika wodi aliyokuwa…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN AKISALIMIANA NA KUOMBA KURA KWA WANANCHI JIMBO LA UYOLE

Na Said Mwishehe,Mbeya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan akisalimiana Wananchi wa Jimbo la Uyole Mkoani Mbeya waliofurika Barabarani kumlaki wakati wa Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 05,2025. Dk.Samia wamepata nafasi ya kusalimiana na wananchi hao na kisha kuomba kura akiwa…

Read More