Admin

Januari Makamba Atoa futari kwa taasisi za dini Tanga.

Na Mashaka Mhando, TANGA MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Januari Makamba, ametoa msaada wa futari kwa taasisi nane za kidini jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono waumini katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Zoezi hilo lililofanyika Leo Machi 16 Jijini Tanga, limenufaisha taasisi za TAMTA, Maawal Chumbageni, Zahara Rashad, Shamsi…

Read More

Ulega aeleza jinsi Daraja la Mkuyuni lilivyonusuru watu

Mwanza. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mkuyuni mkoani Mwanza kumeanza kuonesha matunda katika siku zake za awali. Akizungumza na wananchi baada ya ukaguzi wa daraja hilo leo Jumatatu, Machi 16, 2026, Waziri Ulega amesema wakazi wa Mwanza ni mashahidi wa hali hiyo, hasa kufuatia matukio ya karibuni ya…

Read More

Daraja Mkuyuni limekamilika na limeanza ‘kulipa’- Ulega

Mwanza. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mkuyuni mkoani Mwanza, tayari kumeanza kuonyesha matunda katika siku zake za awali. Akizungumza na wananchi mara baada ya ukaguzi wa daraja hilo leo Jumatatu, Machi 16, 2026 Ulega amesema wakazi wa Mwanza ni mashahidi wa hali hiyo hasa kufuatia matukio ya karibuni…

Read More

KIBAHA KUANZA KILIMO CHA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

Na Khadija Kalili, Kibaha WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, amesema Mkoa wa Pwani unatarajia kuanza mradi wa kilimo cha mbogamboga na matunda katika eneo lenye ukubwa wa ekari 200 lililopo Ruvu Stesheni, Kibaha Vijijini. Akizungumza leo Machi 16, 2026 wakati akikagua eneo hilo, Mhe. Chongolo alisema ameridhishwa na mandhari ya eneo hilo na kusisitiza…

Read More

Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

Dar es Salaam. Mashahidi 43, akiwemo Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele, wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya kughushi vibali vya kumiliki silaha inayowakabili watu tisa, wakiwemo maofisa sita wa Jeshi la Polisi. Wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling’i, ameieleza Mahakama…

Read More

Bahati Yako Ipo Meridianbet Leo

JE unajua kuwa bahati yako ipo Meridianbet siku ya leo? Wakali hawa wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa ingia kwenye akaunti yako, weka dau na ubashiri mechi za leo uibuke na Mamilioni. Ligi pendwa Duniani EPL, kurindima simu ya leo Crystal Palace atumana vikali dhidi ya Leeds United huku tofauti ya pointi kati yao hadi sasa…

Read More