Mlinzi Ang’olewa Meno Manne, Wanachuo 17 Wakamatwa Tabora, RC Paul Chacha Athibitisha – Video
Global Publishers March 8, 2026 0 Comments MKUU wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amethibitisha kukamatwa kwa wanachuo 17 wa Chuo cha Ardhi tawi la Tabora kwa tuhuma za kumpiga mlinzi wa chuo hicho na kumng’oa meno manne. Kwa mujibu wa Chacha, wanachuo hao kwa sasa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Tanzania mkoani Tabora kufuatia…