Admin

Aliyekuwa Spika Bunge la Ukraine auawa kwa kupigwa risasi

Dar es Salaam. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Ukraine, Andriy Parubiy ameuawa kwa kupigwa risasi katika Jiji la Magharibi la Lviv jana Jumamosi, kwa mujibu wa taarifa za Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu. Taarifa zinaeleza kuwa,  mtu mwenye silaha alifyatua risasi kadhaa na kumuua Parubiy papo hapo kisha kukimbia na msako mkubwa umeanzishwa kumtafuta muuaji…

Read More

Mbinu za kujenga ukaribu na wanao

Dar es Salaam. Inawezekana  ukaishi na watoto au mtoto wako nyumbani lakini akahisi kama vile haupo. Labda kwa lugha nyingine naweza kusema unaweza kuwepo nyumbani kimwili “physically” lakini usiwepo kihisia na kijamii “absent socially and emotionally” na hapa ndipo wazazi na walezi wengi tulipo pasipo kujua na huku tukidhani kuwa mambo yote baina yetu na…

Read More

Mzazi unamwandaaje mtoto kuwa mchapakazi, kiongozi?

Dar es Salaam. “Mtoto wa leo ndiye kiongozi na mchapakazi wa kesho. Ili kumjenga, tunahitaji uwekezaji wa muda, upendo na malezi yenye mwelekeo sahihi.” Hii ni kauli ya mtaalamu mmoja wa malezi, Chrinstom Haule aliyoniambia wakati nazungumza naye juu ya hoja hii. Haule aliniambia kuwa si lazima iwe na gharama kubwa, bali moyo wa kujitoa…

Read More

Baleke aibukia Rayon Sports | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa TP Mazembe, Simba na Yanga, Jean Baleke ametua Rayon Sports ya Rwanda kwa kupewa mwaka mmoja wa kuitumikia klabu hiyo iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu ya Rwanda msimu uliopita ikizidiwa pointi nne na mabingwa mara sita mfululizo, APR. Nyota huyo raia wa DR Congo kwa muda wa miezi sita…

Read More

Mukwala, Aucho upepo umebadilika, warejeshwa The Cranes

SIKU tatu tu tangu kikosi cha timu ya taifa ya Uganda The Cranes kutangwazwa huku majina ya nyota wa zamani wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala kutojumuishwa upepo umebadilika kwa wachezaji hao. Taarifa kutoka Uganda zinasema kuwa, nyota hao wameongezwa katika kikosdi hicho kinachojiandaa na mechi mbili za kuwania kufuzu fainali…

Read More