
Unalea au unatunza mtoto? | Mwananchi
Dar es Salaam. Kutambua mfumo mzima wa hisia wa mtoto akiwa amekwazika, amekasirika, ana furaha anacheza na nani au anaishi vipi, ni miongoni mwa vipengele vya maana katika kulea mtoto. Lakini kutunza mtoto ni kutimiza haki za msingi za mtoto kama kumpa malazi mazuri, elimu bora, mavazi na vyakula bila ya kufuatilia kile anachokifanya ikiwemo…