Admin

Morocco yatwaa ubingwa wa CHAN 2024, unakuwa wa tatu

Timu ya taifa ya Morocco, ‘Simba wa Milima ya Atlas’ imetwaa ubingwa wa Fainali za CHAN 2024 baada ya kuifunga Madagascar kwa mabao 3-2 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Moi Kasarani, Kenya. Hili linakuwa taji la tatu kwa Morocco linaloifanya iwe timu iliyotwaa mara nyingi ubingwa wa CHAN,  ambapo awali ililibeba mara…

Read More

‘Maisha yetu yamekatwa’, wanasema wakulima wa Benki ya Magharibi mbele ya Mavuno ya Mizeituni – Maswala ya Ulimwenguni

Kama maelfu ya wakulima wa Palestina, anakabiliwa na vizuizi vinavyoongezeka kutoka kwa vikosi vya Israeli na walowezi, ambao wamefanya msimu wa mavuno ya mizeituni – kuanzia Septemba hadi Novemba – wakati wa kutokuwa na uhakika na mapambano. Katika miaka ya hivi karibuni, Shirika la Chakula na Kilimo la UN (Fao) imeunga mkono wakulima wa mizeituni…

Read More

Kina Kapombe kuikosa Gor Mahia Simba Day

NYOTA wa Simba waliokuwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kucheza michuano ya CHAN hawatakuwa sehemu ya mchezo wa tamasha la Simba Day kati ya Simba na Gor Mahia, Septemba 10. Wacheza wa Simba ambao walikuwa kwenye kikosi cha Stars ni Shomari Kapombe, Yusuf Kagoma, Yakuob Suleiman, Abdurazack Hamza na Wilson Nangu. Kocha…

Read More

BALOZI DKT. NCHIMBI ATEMBELEA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kijijini Mwitongo,Butiama na kuzuru kaburi la mwasisi huyo wa Tanzania na CCM. Dkt.Nchimbi ameingia mkoani Mara hii leo Agosti 30, 2025 akitokea mkoa wa Mwanza ikiwa ni katika harakati za…

Read More

Miradi ya Serikali Yataka Wachambuzi Wenye Maarifa Sahihi

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Wachambuzi wa masuala mbalimbali wamehimizwa kufanya tafiti ya kutosha kabla ya kufanya chambuzi zao ususani linapokuja suala la utekelezwaji wa miradi inayosimamiwa na Serikali ili kuepusha upotoshaji kwenye jamii  Hayo yamesemwa leo Agosti 30, 2025 Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta Binafsi na…

Read More

Ilanfya kurejea kazini baada ya kupona

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya anarejea kazini baada ya kukaa nje ya kazi kwa muda mrefu, kutokana na kuuguza majeraha ya goti la mguu wa kulia na kusababisha kucheza mechi moja msimu uliyopita. Ilanfya aliumia Agosti 28, 2024 kwenye Uwanja wa Major Generali Isamuhyo, dakika chache baada ya kuingia kipindi cha pili mechi dhidi…

Read More

Majaliwa ataka magereza yote kutumia nishati safi kufikia 2027

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Wizara ya Nishati kushirikiana kwa karibu ili kuhakikisha magereza yote nchini yanaunganishwa na mfumo wa nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2027. Majaliwa amesema hatua hiyo inalenga kuboresha mazingira ya wafungwa, kulinda afya za watumishi na kuunga mkono jitihada za Serikali katika…

Read More

Mahakama yaipa nafuu Chadema | Mwananchi

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Manyara, imekubali maombi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema ya kufungua shauri la maombi ya mapitio kupinga uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa, aliyetengua uteuzi wa viongozi wa sekretarieti ya chama hicho. Vilevile, imesimamisha uamuzi wa msajili huyo wa Mei 27, 2025 uliozuia Chadema kuendelea kupokea ruzuku, kusubiri uamuzi…

Read More