Admin

AMBASSADOR STEPHEN PATRICK MBUNGI APOPOINTED NEW SECRETARY GENERAL OF THE EAC

:::::::::: The Government of the United Republic of Tanzania warmly welcomes the appointment of Ambassador Stephen Patrick Mbundi as the new Secretary General of the East African Community (EAC). Ambassador Stephen Patrick Mbundi is a senior Tanzanian diplomat and government official with over 28 years of professional experience. Prior to his appointment as Secretary General…

Read More

NAIBU WAZIRI SALOME AIBANA KAMPUNI YA DONGFANG KWA KASI ISIYORIDHISHA MRADI WA UMEME MALAGARASI

::::::::: Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji. Akiwa katika Kijiji cha Mazungwe wilayani Uvinza Mhe Salome amekagua sehemu mbalimbali za mradi ikiwemo ujenzi wa tuta na uchepushaji mto,…

Read More

SADC YAHIMIZA MTANGAMANO WENYE MATOKEO CHANYA KATIKA KIKANDA

:::::::::: Mkutano wa Kamati ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 07, 2026, chini ya Uenyekiti wa Balozi Tebogo Seokolo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano ya Afrika Kusini.  Katika hotuba ya ufunguzi Balozi Seokolo alihimiza Nchi Wanachama…

Read More

BALOZI MULAMULA ASHEREKEA MAFANIKIO YA WANAWAKE AFRIKA, AKEMEA UKATILI WA KIJINSIA

KUELEKEA kilelele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika kesho Machi 8, 2026, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula amesema anafurahishwa na mafanikio yaliyofikiwa kwa wanawake wa Afrika ikiwemo kushika nafasi za juu za uongozi yaani Urais. Pia, ameguswa na kukemea vitendo vya unyanyasaji…

Read More

TAMWA Yakumbusha Historia ya Mapambano Dhidi ya Dhuluma kwa Wanawake na Watoto

Mwasisi wa Chama Cha Wanahabari Wanawake Tanzania(TAMWA),Fatma Aloo akizungumza wakati wa Iftari iliyofanyika katika Ofisi za TAMWA jijini Dar es Salkaam kwa kuunganisha Waandishi wa habari wakongwe na wakati na wasasa. Iftaru hiyo imefanyika Machi 06, 2026. CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Tanzania Media Women’s Association (TAMWA), kimesisitiza umuhimu wa kuendeleza harakati za…

Read More

Uwakilishi wa wanawake bungeni unaona mafanikio ya kizembe – Global Issues

Ripoti hiyo yenye kichwa Wanawake bungeni 2025 iliyotolewa mbele Siku ya Kimataifa ya Wanawake mnamo tarehe 8 Machi, pia iligundua kuwa uongozi wa wanawake bungeni ulishuka na wanawake kushikilia spika 12 kati ya 75 walioteuliwa hivi karibuni. Wakati huo huo, mgawo ulitambuliwa kama “jukumu muhimu” katika kukuza uwakilishi wa wanawake katika nchi 49 zilizofanya uchaguzi…

Read More

Sh800 bilioni zitakavyomaliza tatizo la umeme Zanzibar

Unguja. Huenda mwarobaini wa kata, washa ya umeme, ikapatikana baada ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuwekeza Sh800 bilioni katika miundombinu hiyo. Zanzibar inapokea umeme kupitia waya za baharini kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Kwa upande wa Unguja, zipo waya mbili, moja ya megawati 45 iliyowekwa mwaka 1980 na imeshatumika hadi kufikia asilimia…

Read More