Admin

UN inakaribisha tukio kubwa zaidi la haki za wanawake duniani – Masuala ya Ulimwengu

Wakati mwaka huu Siku ya Kimataifa ya Wanawakeinayoadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi, inaangazia haki, mifumo inayokusudiwa kuwalinda wanawake na wasichana inashindwa, huku mamilioni wakikabiliwa na ubaguzi, unyanyasaji na kutoadhibiwa huku upinzani dhidi ya usawa wa kijinsia ukiongezeka na ukiukwaji wa haki za msingi kuongezeka duniani kote, kulingana na ripoti mpya iliyotolewa kutoka UN Women….

Read More

Muda wa Kushinda na Meridianbet ni Sasa

JE unajua kuwa muda wako wa kushinda pesa na Meridianbet umefika?. Mechi zote ambazo wewe unazitaka zipo huku kwa dau lako dogo tuuh unajiweka kwenye nafasi ya ushindi. Ligi kuu ya Hispania, LALIGA itaendelea kwa michezo kadhaa ambapo Levante atamualika kwake Girona ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 9. Mwenyeji yupo nafasi…

Read More

Josiah afichua ishu ya Ally Salim

LICHA ya kipa namba moja wa Dodoma Jiji, Ally Salim kukosekana uwanjani kutokana na majeraha ya bega, lakini kocha Amani Josiah amesema hatakuwa na haraka ya kumtumia, kwani lengo ni kumuona akiwa fiti zaidi. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah amesema kipa huyo anaendelea na programu maalumu ya madaktari wa kikosi hicho, ingawa muda si mrefu mashabiki…

Read More

Msuva anausoma mchezo Coastal Union

WINGA wa Coastal Union, James Msuva amesema bado anahitaji muda kuzoea mazingira ya timu mpya akieleza kuwa kujiunga na kikosi hicho katikati ya msimu kimempa shida kidogo. James alijiunga na Wana Mangushi kufuatia kuachana na KenGold mwishoni mwa msimu uliopita na baadae kutambulishwa Coastal kipindi cha dirisha dogo la usajili lililofunguliwa Januari 1, 2026 na…

Read More

Ujumbe wa TAMWA kwa wanahabari wanawake 

WAKATI kesho Machi 8 ni Siku ya Wanawake Duniani, waasisi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), wamekutana na kukumbushia safari ya mafanikio ya chama hicho na kuhamasisha kizazi kipya cha wanahabari wanawake kuendelea kupambana. Waasisi hao walikutana katika tukio maalum la futari lililofanyika jana Ijumaa Machi 6, 2026 kwenye ukumbi wa TAMWA…

Read More

AMBASSADOR STEPHEN PATRICK MBUNGI APOPOINTED NEW SECRETARY GENERAL OF THE EAC

:::::::::: The Government of the United Republic of Tanzania warmly welcomes the appointment of Ambassador Stephen Patrick Mbundi as the new Secretary General of the East African Community (EAC). Ambassador Stephen Patrick Mbundi is a senior Tanzanian diplomat and government official with over 28 years of professional experience. Prior to his appointment as Secretary General…

Read More

NAIBU WAZIRI SALOME AIBANA KAMPUNI YA DONGFANG KWA KASI ISIYORIDHISHA MRADI WA UMEME MALAGARASI

::::::::: Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji. Akiwa katika Kijiji cha Mazungwe wilayani Uvinza Mhe Salome amekagua sehemu mbalimbali za mradi ikiwemo ujenzi wa tuta na uchepushaji mto,…

Read More

SADC YAHIMIZA MTANGAMANO WENYE MATOKEO CHANYA KATIKA KIKANDA

:::::::::: Mkutano wa Kamati ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 07, 2026, chini ya Uenyekiti wa Balozi Tebogo Seokolo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano ya Afrika Kusini.  Katika hotuba ya ufunguzi Balozi Seokolo alihimiza Nchi Wanachama…

Read More

BALOZI MULAMULA ASHEREKEA MAFANIKIO YA WANAWAKE AFRIKA, AKEMEA UKATILI WA KIJINSIA

KUELEKEA kilelele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika kesho Machi 8, 2026, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula amesema anafurahishwa na mafanikio yaliyofikiwa kwa wanawake wa Afrika ikiwemo kushika nafasi za juu za uongozi yaani Urais. Pia, ameguswa na kukemea vitendo vya unyanyasaji…

Read More