Takukuru yakabidhi mashine za Sh18 milioni kuokoa vichanga
Mwanza. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imekabidhi mashine mbili za matibabu, zenye thamani ya Sh18 milioni, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure, kwa ajili ya kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati na wale wanaopata ugonjwa wa manjano. Mashine hizo ni Radiant warmer, inayotumika kuwahudumia watoto wanaozaliwa…