Admin

Mahakama yaipa nafuu Chadema | Mwananchi

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Manyara, imekubali maombi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema ya kufungua shauri la maombi ya mapitio kupinga uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa, aliyetengua uteuzi wa viongozi wa sekretarieti ya chama hicho. Vilevile, imesimamisha uamuzi wa msajili huyo wa Mei 27, 2025 uliozuia Chadema kuendelea kupokea ruzuku, kusubiri uamuzi…

Read More

Miradi ya Sh164 bilioni kutembelewa na mbio za mwenge

Geita. Miradi 61 yenye thamani ya zaidi ya Sh164 bilioni inatarajiwa kutembelewa, kukaguliwa, kuwekewa mawe ya msingi na kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru mwaka huu mkoani Geita, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya asilimia 500 ya thamani ya miradi iliyotembelewa mwaka 2024. Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameyasema hayo leo Septemba 30, 2025,…

Read More

Geay ajenga kambi ya kisasa ya riadha

MWANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay, ameandika ukurasa mpya katika riadha nchini kwa kujenga kambi ya kisasa kwenye kijiji cha Madunga wilayani Babati, Mkoa wa Manyara. Lengo la kambi hiyo ni kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana wa Kitanzania na kuandaa mashujaa wa kesho watakaoiwakilisha nchi katika mashindano makubwa ikiwemo michezo ya Olimpiki. Kambi…

Read More

Takukuru yabaini madudu miradi ya Sh6.6 bilioni

Moshi. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imebaini mapungufu katika miradi 11 ya maendeleo yenye thamani ya Sh6.68 bilioni mkoani Kilimanjaro. Akitoa taarifa ya utekelezaji katika kipindi cha Aprili hadi Juni 2025, Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Kilimanjaro, Musa Chaulo, amesema katika kipindi hicho taasisi hiyo ilifuatilia utekelezaji wa miradi…

Read More

ACT-Wazalendo, Monalisa wavutana | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati uongozi wa tawi la ACT-Wazalendo la Mafifi mkoani Iringa, ukitangaza kumfuta uanachama kada wake Monalisa Ndala, yeye ameibuka akipinga hatua hiyo. Monalisa amepinga hatua hiyo akibainisha kuwa yeye bado ni mwanachama hai wa ACT-Wazalendo tawi la Kibangu, wilayani Ubungo, mkoani Dar es Salaam na siyo Mafifi kama ilivyoainishwa katika barua ya…

Read More

Waafrika 70 wafariki dunia wakivuka maji kwenda Ulaya

Banjul. Wizara ya Mambo ya Nje nchini Gambia, imetoa taarifa ya vifo vya watu 70 baada ya kupinduka kwa mashua  waliokuwa wakisafiria. Imeelezwa kuwa, ajali hiyo imetokea baada ya abiria wa mashua hiyo kusogea upande mmoja wa mashua walipoona mwanga wa mji wa Mheijrat, karibu kilomita 80 kaskazini mwa mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott. Kwa…

Read More

SHIMIWI NI MAHALA PA KAZI – Bi ZIANA MLAWA

………….. 📌 Asema Wizara ya Nishati ipambane irudi na ushindi 📌 Asema Wizara ya Nishati iwe mfano kwa Wizara zingine Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa leo amesema kushiriki michezo mbali mbali inasaidia katika kujenga afya ya mwili na akili hivyo mtumishi anapopata nafasi ya kushiriki michezo yeyote aitumie…

Read More