Admin

Takukuru yakabidhi mashine za Sh18 milioni kuokoa vichanga

Mwanza. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imekabidhi mashine mbili za matibabu, zenye thamani ya Sh18 milioni, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure, kwa ajili ya kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati na wale wanaopata ugonjwa wa manjano. Mashine hizo ni Radiant warmer, inayotumika kuwahudumia watoto wanaozaliwa…

Read More

Waongoza watalii watakiwa kuchukua tahadhari

Serengeti. Wakati Serikali ikiendelea kuchukua hatua za kukabiliana na athari za mvua zinazoendelea kunyesha, waongoza watalii wametakiwa kuchukua tahadhari wanazopewa na vikosi vya uokozi katika maeneo korofi katika Hifadhi ya Taifa Serengeti. Mamkala ya hifadhi hiyo imesema itaendelea kuhakikisha shughuli za utalii zinaendelea kama kawaida huku usalama wa watumiaji wa barabara, wakiwemo watalii, wanaowaongoza na…

Read More

Kyela yashusha mitambo kumaliza kero ya barabara

Mbeya. Kero ya miundombinu ya barabara iliyokuwa ikiwakabili wananchi wilayani Kyela mkoani Mbeya, huenda ikabaki historia baada ya Halmashauri hiyo kununua mitambo minne ya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na changamoto hiyo kwa jamii. Mara kadhaa wananchi wilayani humo walikuwa wakiripoti kukumbwa na mafuriko kufuatia mitaro na mifereji kutiririsha maji na kusababisha kero kwenye makazi…

Read More

Maeneo ya fursa yanayoweza kuwakuza wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Wadau wa maendeleo wamebainisha maeneo muhimu yenye fursa yanayoweza kuongeza ushiriki wa wanawake katika shughuli za kiuchumi, ikiwemo kilimo chenye soko la uhakika ndani na nje ya nchi. Mbali na kilimo, wadau hao wanaweka wazi masuala ambayo yakifanyiwa kazi kikamilifu, yatasaidia wanawake kushiriki ipasavyo katika ukuzaji wa uchumi na kuwa na jamii…

Read More

BALOZI WA MAZINGIRA MOSES ASISITIZA UPANDAJI MITI

………….. Na Mwandishi Wetu, Tunduru Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amempa siku 14 mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Songea hadi Mahumbika kupitia Tunduru na Masasi kurejea eneo la mradi na kuendelea na kazi mara moja. Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi huo…

Read More