Admin

SERIKALI YAIMARISHA ULINZI WA URITHI WA KABILA LA WAHDZABE.

………….. Mkuu wa Wilaya ya Karatu mkoani Arusha, Dkt. Lameck Karanga amesema Serikali kupitia mamlaka husika imeanza kuchukua hatua dhidi ya raia wa kigeni pamoja na waongoza watalii ambao ni watanzania wanaotuhumiwa kuwarekodi maudhui yasiyofaa wananchi wa kabila la Wahadzabe wanaoshi wilayani humo. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Tanzania cha TBC1 Agosti 27,2025, Dkt. Lameck…

Read More

Tanesco yakamata watano kwa hujuma ya miundombinu Kahama

Shinyanga. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kanda ya Magharibi kwa kushirikiana na maafisa kutoka makao makuu, limewakamata wateja watano wanaodaiwa kuhujumu miundombinu ya shirika hilo kwa njia zisizo halali ikiwemo kuhamisha na kuchezea mita wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Tukio hilo limebainika kupitia operesheni maalum ya ‘Baini wajibika Okoa Mapato (BAOMA), iliyoendeshwa na shirika hilo kwa…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN AIONA TANZANIA YENYE MAENDELEO, NEEMA TELE

*Awaomba wananchi wachague wagombea wa CCM Uchaguzi Mkuu Oktoba 29 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mvomero  MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amesema kwamba Tanzania ijayo itakuwa nchi yenye neema itakayotekeleza miradi ya maendeleo bila kutegemea fedha za mikopo mikubwa huku wananchi wakipata huduma bora za kijamii kama elimu,umeme, afya,maji na…

Read More

Kibwana afafanua ishu ya kiungo Yanga

BAADA ya kuwapo kwa taarifa za kiungo mshambuliaji wa Yanga Princess, Aregash Kalsa kuachwa na timu hiyo, mratibu wa kikosi hicho Kibwana Matokeo amesema nyota huyo bado yupo Jangwani. Kumekuwapo na taarifa mitandaoni zinazodai kwamba mchezaji huyo anayetumia mguu wa kushoto amejiunga na RS Berkane ya Ligi Kuu ya Wanawake Morocco. Kalsa alijiunga na Yanga…

Read More

Chan 2024: Morocco v Madagascar Fainali ya kibabe

MASHINDANO ya (CHAN) PAMOJA 2024 yanafikia kilele chake leo Jumamosi, jijini Nairobi, Kenya wakati mabingwa mara mbili wa michuano hiyo, Morocco watakapovaana na Madagascar kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi Kasarani, baada ya jana Ijumaa kushuhudia mechi ya mshindi wa tatu ikipigwa jijini Kampala, Uganda kati ya Sudan dhidi ya Senegal. Fainali hii…

Read More

Fadlu, mastaa wapya washtua | Mwanaspoti

SIMBA imewasili nchini alfajiri ya jana Ijumaa ikitokea jijini Cairo, Misri ilikoenda kuweka kambi ya mwezi ili kujiweka zaidi kwa msimu mpya wa mashindano, lakini kuna watu watatu wameshtua ndani ya ujio huo akiwemo kocha mkuu, Fadlu Davids. Msafara huo wa Simba uliwasili ulirejea karibu wote isipokuwa kocha huyo na mastaa wengine wapya wa kikosi…

Read More