Admin

Rais wa Iran Aonya Nchi Jirani Kuhusu Mashambulizi ya Israel na Marekani

Global Publishers March 7, 2026 0 Comments Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa nchi yake haitalenga kushambulia nchi jirani isipokuwa kama mashambulizi dhidi ya Iran yataanzia katika ardhi ya nchi hizo. Akizungumza kuhusu mvutano unaoendelea katika Mashariki ya Kati, Pezeshkian alisisitiza kuwa Iran haina nia ya kuanzisha mashambulizi dhidi…

Read More

Trump Aibuka na Onyo Kali kwa Iran Kuhusu Mashambulizi Leo

Global Publishers March 7, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa itakumbana na mashambulizi makali leo, akidai kuwa nchi hiyo tayari inapata pigo kubwa kutokana na operesheni za kijeshi zinazodaiwa kufanywa kwa ushirikiano kati ya Marekani na Israel. Trump alitoa kauli hiyo kupitia mtandao wake wa…

Read More

Mlipuko wa drone watikisa uwanja wa ndege Dubai

Dar es Salaam. Hali ya taharuki imetanda katika jiji la Dubai huko Falme za Kiarabu baada ya tukio la mlipuko mdogo kuripotiwa karibu na barabara ya kurukia na kutua ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa Dubai. Tukio hilo limesababisha kusimamishwa kwa muda kwa baadhi ya safari za ndege. Taarifa za awali zinaeleza mlipuko huo umehusishwa…

Read More

WANANCHI WAHAMASISHWA UPANDAJI MITI WAKATI HUU WA MVUA

  …….. Balozi wa mazingira wa kujitolea Moses Mwakibolwa amewahamasisha wananchi kutumia mvua zinazoendelea kunyesha kupanda miti ili kulinda ikolojia na kupunguza athari za uharibifu wa mazingira nchini. Mwakibolwa amesema wananchi wanapaswa kujenga utamaduni wa kupanda miti kila kunapotokea unyevunyevu ardhini ili kuongeza kasi ya upandaji miti na kulinda mazingira kwa manufaa ya kizazi cha…

Read More

Mtanzania ateuliwa katibu mkuu mpya wa EAC

Arusha. Mtanzania Balozi Stephen Mbundi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) akichukua Katibu Mkuu wa EAC, Veronica Nduva. Balozi Mbundi ametangazwa leo Jumamosi, Machi 7, 2026 katika Mkutano wa kawaida wa 25 wa wakuu wa nchi za EAC unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Aidha, Rais wa…

Read More

Katika siku ya saba ya vita vya Mashariki ya Kati, hakuna kuacha mateso – Masuala ya Ulimwenguni

Siku saba tangu shambulio la Israel na Marekani nchini Iran kuzusha mashambulizi yanayoendelea katika eneo la Mashariki ya Kati, wahudumu wa kibinadamu walithibitisha kutokea machafuko makubwa nchini Lebanon, huku mamia ya makazi yakiwa yamejaa. vitongoji vyote vya Beirut vimeachwa. “Jeshi la Israel linavamia kusini mwa Lebanoni, amri za kuwahamisha watu katika vitongoji vya kusini mwa…

Read More

SBL Wakutana na Waziri wa Kilimo Chongolo Kukuza Kilimo

Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo Kwenye Picha ya Pamoja na Uongozi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Na Neema Adrian Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) jana ilikutana na Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, katika kikao cha kimkakati kilicholenga kuimarisha mnyororo wa thamani wa kilimo nchini, kuwawezesha wakulima na kuchangia maendeleo ya viwanda na…

Read More

Ibenge awageukia washambuliaji wake | Mwanaspoti

AZAM FC baada ya kucheza mechi mbili za Ligi Kuu Bara ugenini na kutoka sare zote, leo Jumapili itakuwa nyumbani ikiikaribisha Mbeya Kwanza katika hatua ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku kocha wa kikosi hicho, Florent Ibenge akisema kuna kitu amekishtukia kwa washambuliaji wake. Pointi mbili ilizovuna Azam kwenye mechi hizo…

Read More

Museveni achaguliwa mwenyekiti mpya EAC

Arusha. Rais wa Uganda Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha kuanzia Machi 2026 hadi 2028, akichukua mikoba kwa Rais wa Kenya William Ruto aliyemali muda wake. Museveni amechaguliwa leo Jumamosi, Machi 7, 2026 katika Mkutano wa kawaida wa 25 wa wakuu wa nchi wa EAC unaofanyika katika…

Read More