Admin

Fadlu, mastaa wapya washtua | Mwanaspoti

SIMBA imewasili nchini alfajiri ya jana Ijumaa ikitokea jijini Cairo, Misri ilikoenda kuweka kambi ya mwezi ili kujiweka zaidi kwa msimu mpya wa mashindano, lakini kuna watu watatu wameshtua ndani ya ujio huo akiwemo kocha mkuu, Fadlu Davids. Msafara huo wa Simba uliwasili ulirejea karibu wote isipokuwa kocha huyo na mastaa wengine wapya wa kikosi…

Read More

Ligi Kuu yaipa jeuri Yanga, yatoa kauli ya kutisha

UMEIONA ratiba ya Ligi Kuu Bara? Basi bingwa mtetezi Yanga imeiona kisha bosi mmoja mzito wa klabu hiyo, ametoa tamko, wako tayari kwa msimu huku akiringia hesabu walizonazo kutokana na kikosi hicho kinachoendelea kujifua kwa sasa kambini Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam. Bosi aliyeyasema hayo ni Rodgers Gumbo, akiliambia Mwanaspoti wameipokea ratiba ya ligi…

Read More

Siri nzito dili la Nangu, Yakoub

SIMBA imetua nchini alfajiri ya jana ikitokea Misri ilipoweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026, lakini huku nyuma mabosi wa klabu hiyo wamefanya jambo moja lililowahakikishia kuwamiliki wachezaji wawili nyota kutoka JKT Tanzania. Kama unakumbuka Mwanaspoti liliwafahamisha mapema Simba ilishamalizana na beki Wilson Nangu na kipa Yakoub Suleiman waliokuwa wakiitumikia Taifa Stars katika…

Read More

Bado Watatu – 13 | Mwanaspoti

LAKINI tulipomaliza kushuka ngazi na kuliona gari ambalo tulielekea kujipakia, kidogo alishituka. Pengine alilishitukia kuwa lilikuwa gari la usalama. Hata hivyo, hakuniuliza kitu. Nilipojipakia katika siti ya dereva na yeye alijipakia katika siti ya upande wa pili akakaa. Nikaliwasha gari tukaondoka. Sikumuuliza kitu mpaka tulipoikamata barabara ya Mikanjuni. “Utanionyesha ni Mikanjjuni ipi anayoishi,” nikamwambia. “Twende…

Read More

WADAU WA UTALII WAZIDI KUITIKIA WITO WA SERIKALI.

-Hoteli ya Kifahari ya Mapito Safari Camp yazinduliwa rasmi Serengeti Matokeo ya jitihada kubwa za Serikali ya Tanzania kutangaza vivutio pamoja na kuvutia wawekezaji wa kimataifa kuja kuwekeza nchini zinazidi kuzaa matunda kwani alhamisi, Agosti 29, 2025 imezinduliwa hoteli ya Mapito Safari Camp katika kijiji cha Robanda, Serengeti iliyojengwa na kampuni kubwa na maarufu ya…

Read More

CCK YAJIPAMBANUA KUSHIKA,KUZINDUA KIJICHI KESHO

………… Chama cha siasa cha Kijamii CCK kimesema moja ya kipaumbele chake katika kampeni za uchaguzi wa mwaka huu kitaweka mikakati mizuri kwa vijana ikiwemo kuboresha elimu imara itakayomsaidia mtanzania kuweza kujiajiri. Mwenyekiti wa Chama hicho na Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania David Mwaijojele amesema hayo leo wakati akizungumza jijini…

Read More

Nondo za CUF kwa elimu ya Tanzania

Dar es Salaam. Wadau wa elimu nchini wamechambua ilani ya uchaguzi ya Chama cha Wananchi (CUF) ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 inayotoa dira ya kina juu ya sekta ya elimu nchini Tanzania wakisema ina mambo mazuri, tatizo ni ahadi kutotekelezwa. Ilani hiyo inaeleza mikakati ya kuhakikisha elimu bora, jumuishi na yenye tija kwa Watanzania wote…

Read More