Admin

Siri nzito dili la Nangu, Yakoub

SIMBA imetua nchini alfajiri ya jana ikitokea Misri ilipoweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026, lakini huku nyuma mabosi wa klabu hiyo wamefanya jambo moja lililowahakikishia kuwamiliki wachezaji wawili nyota kutoka JKT Tanzania. Kama unakumbuka Mwanaspoti liliwafahamisha mapema Simba ilishamalizana na beki Wilson Nangu na kipa Yakoub Suleiman waliokuwa wakiitumikia Taifa Stars katika…

Read More

Bado Watatu – 13 | Mwanaspoti

LAKINI tulipomaliza kushuka ngazi na kuliona gari ambalo tulielekea kujipakia, kidogo alishituka. Pengine alilishitukia kuwa lilikuwa gari la usalama. Hata hivyo, hakuniuliza kitu. Nilipojipakia katika siti ya dereva na yeye alijipakia katika siti ya upande wa pili akakaa. Nikaliwasha gari tukaondoka. Sikumuuliza kitu mpaka tulipoikamata barabara ya Mikanjuni. “Utanionyesha ni Mikanjjuni ipi anayoishi,” nikamwambia. “Twende…

Read More

WADAU WA UTALII WAZIDI KUITIKIA WITO WA SERIKALI.

-Hoteli ya Kifahari ya Mapito Safari Camp yazinduliwa rasmi Serengeti Matokeo ya jitihada kubwa za Serikali ya Tanzania kutangaza vivutio pamoja na kuvutia wawekezaji wa kimataifa kuja kuwekeza nchini zinazidi kuzaa matunda kwani alhamisi, Agosti 29, 2025 imezinduliwa hoteli ya Mapito Safari Camp katika kijiji cha Robanda, Serengeti iliyojengwa na kampuni kubwa na maarufu ya…

Read More

CCK YAJIPAMBANUA KUSHIKA,KUZINDUA KIJICHI KESHO

………… Chama cha siasa cha Kijamii CCK kimesema moja ya kipaumbele chake katika kampeni za uchaguzi wa mwaka huu kitaweka mikakati mizuri kwa vijana ikiwemo kuboresha elimu imara itakayomsaidia mtanzania kuweza kujiajiri. Mwenyekiti wa Chama hicho na Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania David Mwaijojele amesema hayo leo wakati akizungumza jijini…

Read More

Nondo za CUF kwa elimu ya Tanzania

Dar es Salaam. Wadau wa elimu nchini wamechambua ilani ya uchaguzi ya Chama cha Wananchi (CUF) ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 inayotoa dira ya kina juu ya sekta ya elimu nchini Tanzania wakisema ina mambo mazuri, tatizo ni ahadi kutotekelezwa. Ilani hiyo inaeleza mikakati ya kuhakikisha elimu bora, jumuishi na yenye tija kwa Watanzania wote…

Read More

Zanzibar, Qatar zasaini makubaliano ya Sh25 trilioni

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa Dola za Marekani 10 bilioni zaidi ya Sh25 trilioni na kampuni kutoka Qatar. Kiasi hicho cha fedha kinalenga kutumika katika sekta miradi ya kimkakati na kipaumbele ukiwemo uchumi wa buluu, utalii, uhifadhi wa mafuta, bandari na nishati ya umeme. Mkataba huo…

Read More

TSA, Waturuki kuziinua kampuni changa nchini

Dar es Salaam. Katika kukuza kampuni changa nchini, Chama cha Kampuni Changa Tanzania (TSA) kimeingia makubaliano na kampuni ya uturuki ya AfrIcapital Investment Holdings Ltd, kwa lengo  kusaidia na kuwezesha upatikanaji rahisi wa masoko na mitaji kwa biashara changa. Chama hicho kimesema kina matumaini makubwa ya kupata matokeo mazuri kutokana na ushirikiano huu utakaodumu kwa…

Read More