Admin

UN Secretary-General: Tanzania is a ‘Reference Point for Peace’, Calls for Meaningful National Dialogue Post-Election

“Tanzania continues to stand as a reference point for peace and social cohesion in Africa and the world.” These were the words of the United Nations Secretary-General, H.E. António Guterres, today upon receiving a Special Envoy carrying a message from the President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan. The message…

Read More

Hatma ya kiungo Mnigeria ipo kwa Maxime

UONGOZI wa Mbeya City huenda ukaachana na mpango wa kumtema kiungo Mnigeria, Paschal Onyedika Okoli katika dirisha dogo la Januari mwakani, baada ya awali nyota huyo kudaiwa hana furaha kutokana na kutocheza kikosi cha kwanza mara kwa mara. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo umeliambia Mwanaspoti, kiungo huyo aliyebakisha miezi sita katika mkataba…

Read More

Malindi upepo umekata visiwani | Mwanaspoti

ULE upepo mzuri ilioanza nao Malindi katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), umekata baada ya kucheza mechi saba mfululizo sawa na dakika 630 bila kuonja ushindi, huku ikielezwa tatizo ni kutimuliwa kwa makocha wasaidizi wawili kikosini. Mabingwa hao wa zamani wa Tanzania na moja ya timu zilizowahi kutamba katika michuano ya CAF miaka ya 1990, walianza…

Read More

Ushahidi butu ulivyomnusuru Bukuku kifungo miaka 20 jela

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya, imemuachia huru Raphael Bukuku, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa ya kuvunja nyumba na kuiba mali zenye thamani ya zaidi ya Sh3 milioni. Raphael na wenzake watatu( siyo warufani katika rufaa hiyo) walidaiwa kutenda makosa hayo usiku wa Desemba 28,2023 ambapo walivunja nyumba za watu…

Read More

FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

Na Mwandishi Wetu, Handeni TC HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imefanya ziara ya mafunzo katika Halmashauri ya Mji Handeni kwa lengo la kujifunza utekelezaji wa Mradi wa BOOST unaolenga kuboresha miundombinu ya elimu ya msingi na kupunguza msongamano wa wanafunzi darasani. Katika ziara hiyo, Kamati ya Mradi wa BOOST kutoka Jiji la Tanga ilitembelea miradi…

Read More

Gereza la Kibondo lageukia ubunifu nishati safi ya kupikia

Kigoma. Jeshi la Magereza wilayani Kibondo mkoani Kigoma limeanza kutumia mkaa mbadala unaotokana na mchanganyiko wa randa za miti na udongo unaozalishwa ndani ya gereza hilo, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Serikali la matumizi ya nishati safi ya kupikia. Serikali, kupitia Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024–2034),…

Read More