Kadi nyekundu za Chalamanda kuna kitu
UNAWEZA kudhani kama masihara, lakini ukweli ni kwamba kadi nyekundu aliyoonyeshwa Ramadhan Chalamanda wa JKT Tanzania dhidi ya Mbeya City, inafanana na ile aliyowahi kuonyeshwa dhidi ya timu hiyo misimu miwili iliyopita. Chalamanda ambaye ameingia JKT Tanzania msimu huu akitokea Kagera Sugar, alionyeshwa kadi hiyo dakika ya 17 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa…