Admin

Migogoro inayoenea ‘kama moto wa nyika’, mkuu wa haki za Umoja wa Mataifa anaonya – Masuala ya Ulimwenguni

UNHCR Moshi unafuka baada ya shambulizi la anga huko Beirut, Lebanon. Ijumaa, Machi 06, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Ghasia kote Mashariki ya Kati zinaendelea huku mashambulizi ya kijeshi na mashambulizi ya kukabiliana yakiripotiwa katika nchi kadhaa katika eneo hilo, na kuzua hofu ya kukosekana kwa utulivu na kuzorota kwa hali ya kibinadamu. Mashirika…

Read More

HAYATI MAALIM SEIF AIBUKA KIDEDEA MAHAKAMA YA AFRIKA

Na Seif Mangwangi, Michuzi TV Arusha MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), imekubali malalamiko ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo na Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Hayati Maalim Seif Sharifu Hamad na wenzake katika kesi ya msingi waliyoifungua mahakamani hapo mara baada ya uchaguzi Mkuu wa mwaka…

Read More

RAIS NDAYISHIMIYE AWASILI TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA 25 JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ARUSHA.

:::::::::: Rais wa Jumhuri ya Burundi  Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe 7 Machi 2026 katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha.  Akiwasili Mkoani humo amepokelewa na…

Read More

Sababu Rais wa Rwanda, DRC kutohudhuria mkutano wa EAC

Arusha. Zikiwa zimebaki dakika chache kuanza kwa mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Félix Tshisekedi, hawajawasili jijini Arusha. Katika mkutano huo, jumla ya Wakuu wa Nchi wanane wa Jumuiya ya Afrika Mashariki…

Read More

Kuna kombe linatafutwa | Mwanaspoti

BAADA ya mabingwa mara tatu wa Kombe la Shirikisho la FA, Simba kutoka suluhu (0-0), dhidi ya watani zao wa jadi, Yanga katika mechi ya Ligi Kuu, iliyopigwa Machi 1, 2026, kikosi hicho kinashuka tena uwanjani leo kuiwinda tiketi ya michuano ya CAF. Katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwa mara ya kwanza…

Read More

Nsajigwa aanza hesabu za Yanga

BAADA ya kuanza na pointi moja dhidi ya Azam FC, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa amesema hesabu zinahamia kwa Yanga kabla ya mchezo wa Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya TMA inayocheza  Championship. Nsajigwa aliyejiunga na maafande hao hivi karibuni kurithi mikoba ya Zedekiah Otieno, juzi aliiongoza timu hiyo ilitoshana nguvu dhidi…

Read More