Admin

Zanzibar, Qatar zasaini makubaliano ya Sh25 trilioni

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa Dola za Marekani 10 bilioni zaidi ya Sh25 trilioni na kampuni kutoka Qatar. Kiasi hicho cha fedha kinalenga kutumika katika sekta miradi ya kimkakati na kipaumbele ukiwemo uchumi wa buluu, utalii, uhifadhi wa mafuta, bandari na nishati ya umeme. Mkataba huo…

Read More

TSA, Waturuki kuziinua kampuni changa nchini

Dar es Salaam. Katika kukuza kampuni changa nchini, Chama cha Kampuni Changa Tanzania (TSA) kimeingia makubaliano na kampuni ya uturuki ya AfrIcapital Investment Holdings Ltd, kwa lengo  kusaidia na kuwezesha upatikanaji rahisi wa masoko na mitaji kwa biashara changa. Chama hicho kimesema kina matumaini makubwa ya kupata matokeo mazuri kutokana na ushirikiano huu utakaodumu kwa…

Read More

Nishati safi yapigiwa chapuo usafiri wa ardhini

Dar es Salaam. Serikali kupitia Wizara ya Uchukuzi ikishirikiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) imetangaza kaulimbiu ya nishati safi na ubunifu katika usafirishaji kuelekea katika maadhimisho ya kwanza ya Wiki ya Usafirishaji Endelevu wa Ardhini nchini. Madhimisho hayo ya mara ya kwanza yanatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Novemba 24 hadi 29…

Read More

Zaidi ya nusu ya Watanzania wanapenda huduma za tiba asili

Dodoma. Asilimia 60 ya Watanzania wanatafuta tiba za asili, ingawa hakuna utafiti zaidi unaoeleza iwapo kundi hilo linatoka vijijini au ni wananchi waishio mijini, imeelezwa. Takwimu hizo zimetolewa leo Ijumaa Agosti 29, 2025 na Dk Ahmad Makuwani, Mkurugenzi wa Huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya. Dk Makuwani amesema Serikali…

Read More

Watu Wenye Ulemavu wa Macho Wafikiwa na Meridianbet

LEO hii tarehe 29 ya mwezi wa 8 Kampuni kubwa ya ubashiri Meridianbet, katika mwendelezo wake wa kurejesha kwenye jamii iliamua kuwatembelea watu wenye ulemavu wa macho na kuwapatia msaada wa White Cane ( Fimbo za kutembelea) ambazo hizi zitawasaidia kwenye maisha yao ya kila siku. Ikiwa ni jitihada za Kampuni hii kuijali jamii yake…

Read More

Ushahidi wa Askofu Chilongani kesi ya Sepeku

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi Central Tanganyika (Dodoma), Dk Dickson Chilongani (59) ameieleza mahakama kuwa alijihisi furaha na huzuni, Askofu mkuu wa kwanza wa kanisa hilo, hayati John Sepeku alipozawadiwa shamba na nyumba. Dk Chilongani ameieleza hayo Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi leo Agosti 29, 2025, alipotoa ushahidi katika kesi ya…

Read More

Aliyempinga Mpina afukuzwa ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimemvua uanachama kada wake Monalisa Ndala ambaye hivi karibuni aliibuka kupinga uteuzi wa mgombea urais wa chama hicho Luhaga Mpina. Monalisa amevuliwa uanachama na Kikao cha Kamati ya Uongozi wa chama hicho tawi la Mafifi, kilichofanyika Agosti 28, 2025 Kata ya Kihesa, Manispaa ya Iringa. Kwa mujibu wa…

Read More