Admin

Aliyempinga Mpina afukuzwa ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimemvua uanachama kada wake Monalisa Ndala ambaye hivi karibuni aliibuka kupinga uteuzi wa mgombea urais wa chama hicho Luhaga Mpina. Monalisa amevuliwa uanachama na Kikao cha Kamati ya Uongozi wa chama hicho tawi la Mafifi, kilichofanyika Agosti 28, 2025 Kata ya Kihesa, Manispaa ya Iringa. Kwa mujibu wa…

Read More

Taasisi za Serikali zapeana nyenzo kuboresha utendaji wake

Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mohammed Abdulla, amekabidhi kompyuta mpakato (laptop) 30 kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Ally Possi ili ziwasaidie katika kukamilisha majukumu yao kwa wakati. Taarifa iliyotolewa na kitengo cha Habari kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, inaonyesha makabidhiano hayo yalifanyika jana Alhamisi Agosti 27,2025…

Read More

TANESCO YAKAMATA WATU WATANO WAKIHUJUMU UMEME KAHAMA

Afisa Usalama wa TANESCO Mkoa wa Tabora na Msimamizi wa Usalama wa Kanda ya Magharibi, Said Sombwe, akionesha eneo ambalo wizi wa umeme ulikuwa ukifanyika wakati wa oparesheni maalum ya BAOMA wilayani Kahama. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewakamata watu watano katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, kwa…

Read More

Samia: Morogoro ya viwanda inarudi

Morogoro/Mwanza. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea na kampeni kikiahidi kuirejeshea Morogoro hadhi yake ya kuwa mkoa wa viwanda, huku ikieleza itakachowafanyia wananchi wa Mwanza.   Mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 29, 2025 akiwa mkoani Morogoro ameahidi kuurejesha katika hadhi yake kama mkoa wa viwanda ili kuibua fursa nyingi za ajira kwa…

Read More

Hekaheka wiki ya kwanza kuzisaka kura urais 2025/30

Dar es Salaam. Hekaheka za kusaka kura za nafasi ya urais katika wiki ya kwanza ya kampeni tayari zimeanza na kuvifanya vyama vya siasa kugawana maeneo ya nchi, kunadi sera zao kushawishi wananchi, ili wagombea wao wachaguliwe. Chama cha Mapinduzi (CCM) ndicho kilichofungua pazia la kumnadi mgombea wake, Samia Suluhu Hassan, sambamba na mgombea mwenza…

Read More