Admin

Mtanzania aula na makinda ya Barcelona 

MCHEZAJI kinda wa Kitanzania, Barka Seif, ameula katika kikosi bora cha vijana wenye umri chini ya miaka 12 kilichochaguliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu la Catalonia (FCF). Kikosi hicho kinajumuisha wachezaji wenye vipaji kutoka klabu mbalimbali ndani ya Catalonia kama vile Barcelona, Espanyol RCD, Girona na Damm. Barka amechaguluwa katika kikosi hicho kufuatia kufunga mabao 18 katika…

Read More

BoT YAFAFANUA SABABU ZA KUNUNUA NA KUUZA DHAHABU

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) amesema kuwa hatua ya benki hiyo kununua na wakati mwingine kuuza dhahabu ni utekelezaji wa matakwa ya sheria pamoja na usimamizi madhubuti wa akiba ya fedha za kigeni ya taifa. Akizungumza wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo, gavana huyo alifafanua kuwa kwa mujibu wa sheria…

Read More

Kwa Slotopia Ya Meridianbet, Sasa Kila Mzunguko Unakupa Ushindi

Soko la burudani ya kasino mtandaoni sasa limepata nguvu mpya baada ya Meridianbet kuijumuisha Slotopia, mtengeneza michezo anayelenga kuwapa wachezaji burudani isiyo na kikomo pamoja na bonasi na zawadi kemkem. Uzinduzi huu unaashiria kipindi kipya cha ushindi, ambapo kila mzunguko wa mchezo ni fursa ya kuongeza mapato. Slotopia imeundwa kwa lengo la kuhakikisha kila mchezaji…

Read More

Odds Za Moto Leo! Freiburg, Barcelona na Dortmund Wanacheza

Je unajua ushindi wa haraka unaeza ukaupata Meridianbet ambao hawa ni wakali wa mambo ya ubashiri?. Kama hujajua basi ndio nakupa taarifa sasa unachotakiwa kufanya ni kuweka dau kwenye simu yako na kuanza kubashiri na Meridianbet leo. Ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA itaendelea Freiburg ataumana dhidi ya Bayer Leverkusen  ambapo mechi ya mwisho kukutana kati…

Read More