Admin

Tanzania kudhibiti kemikali hatari za dawa za kulevya

Nashville. Tanzania imeingia makubaliano na nchi zinazozalisha kwa wingi kemikali bashirifu zinazotumika katika utengenezaji wa dawa za kulevya ili kupunguza athari kwa vijana. Hayo yamesemwa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo ambaye ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa 39 wa Kimataifa wa Mapambano Dhidi…

Read More

Tanzania ijifunze haya, mdororo wa uchumi Botswana

Kupungua kwa mauzo ya almasi kumetajwa kama moja ya sababu iliyofanya nchi ya Botswana kutangaza hali ya dharura kutokana na kushindwa kumudu baadhi ya mahitaji ikiwamo katika sekta ya afya. Agosti 26, 2025 Botswana ilitangaza hali ya dharura ya afya ya umma kutokana na kukabiliwa kwa uhaba wa dawa muhimu na vifaa vya matibabu. Rais…

Read More

TLP yaahidi kampeni za amani, utulivu

Dar es Salaam. Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), kinatarajia kuzindua kampeni zake Septemba 4, 2025 huku kikiahidi kuwa zitafanyika kwa amani na utulivu. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Agosti 29, 2025 na mgombea urais wa chama hicho, Yustas Rwamugira, katika hafla ya wananchama kumpokea iliyofanyika makao makuu ya chama hicho Magomeni, Dar es Salaam akitokea…

Read More

Mastaa Simba watambia usajili | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikirejea nchini alfajiri ya leo ikitokea Misri, mastaa wa timu hiyo wameringia usajili wa kikosi hicho kwa msimu msimu mpya wakisisitiza wamepania kufanya mabadiliko. Simba iliweka kambi jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo, Misri ikitumia siku 31 kujifua tayari kwa msimu wa 2025/26 ambao utaanza rasmi Septemba 16 kwa kupigwa mechi ya…

Read More

Mastaa Simba watambia usajili | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikirejea nchini alfajiri ya leo ikitokea Misri, mastaa wa timu hiyo wameringia usajili wa kikosi hicho kwa msimu msimu mpya wakisisitiza wamepania kufanya mabadiliko. Simba iliweka kambi jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo, Misri ikitumia siku 31 kujifua tayari kwa msimu wa 2025/26 ambao utaanza rasmi Septemba 16 kwa kupigwa mechi ya…

Read More

Samia aahidi lami, kituo cha afya Morogoro vijijini

Morogoro. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kuboresha huduma za afya, barabara na kilimo kwa wananchi wa Morogoro vijijini endapo atachaguliwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Katika eneo hilo, ameahidi ujenzi wa Barabara ya Bigwa – Kisaki kwa kiwango cha lami, ujenzi wa kituo kikubwa cha afya na…

Read More

Kipa wa Simba kutua Tabora United

MABOSI wa Simba leo Ijumaa walitarajia kufanya kikao cha kumalizana na mmoja wa makipa waliokuwa wakiitumikia timu hiyo, ikidaiwa mipango ya kumtoa kwa mkopo imekuwa ngumu baada ya kipa huyo kugoma na kutaka alipwe chake asepe mazima Msimbazi. Hatua hiyo, imewafanya mabosi wa Simba kuitisha kikosi hicho cha jana kwa lengo la kumalizana na kipa huyo…

Read More

Dk Nchimbi: Yajayo Mwanza yanafurahisha

Mwanza. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameeleza jinsi  chama hicho kitawafanyia wananchi wa mkoa wa Mwanza endapo watapewa ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Sekta ya elimu, afya, miundombinu ya barabara, huduma za maji na kijamii itakuwa ni kipaumbele kikubwa. Kuwasimamia na kuwawajibisha wabadhirifu wa…

Read More