Admin

Kipa wa Simba kutua Tabora United

MABOSI wa Simba leo Ijumaa walitarajia kufanya kikao cha kumalizana na mmoja wa makipa waliokuwa wakiitumikia timu hiyo, ikidaiwa mipango ya kumtoa kwa mkopo imekuwa ngumu baada ya kipa huyo kugoma na kutaka alipwe chake asepe mazima Msimbazi. Hatua hiyo, imewafanya mabosi wa Simba kuitisha kikosi hicho cha jana kwa lengo la kumalizana na kipa huyo…

Read More

Dk Nchimbi: Yajayo Mwanza yanafurahisha

Mwanza. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameeleza jinsi  chama hicho kitawafanyia wananchi wa mkoa wa Mwanza endapo watapewa ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Sekta ya elimu, afya, miundombinu ya barabara, huduma za maji na kijamii itakuwa ni kipaumbele kikubwa. Kuwasimamia na kuwawajibisha wabadhirifu wa…

Read More

DK.ASHA-ROSE MIGIRO AAHIDI CCM KUFANYA KAMPENI ZA KISTAARABU UCHAGUZI MKUU

Na Mwandishi Wetu,Ngerengere KATIBU Mkuu wa Chama Cua Mapinduzi(CCM) Balozi Dk.Asha -Rose Migiro amewahakikishia Watanzania kuwa Chama hicho kimejipanga kuhakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Balozi Dk.Migiro amesema hayo Agosti 29,2025 katika Uwanja wa Njia Nne uliopo Kata ya Ngerengere mkoani Morogoro wakati wa mkutano wa kampeni…

Read More

Gavana aliyegoma kufutwa kazi amburuta Trump mahakamani

New York. Gavana wa Benki Kuu ya  Marekani, Lisa Cook amemshitaki Rais Donald Trump, baada ya kutangaza kumfuta kazi. Tangu aingie madarakani muhula wa pili, Rais Trump amekuwa na utaratibu wa kuwafuta kazi watumishi tangu alipoingia madarakani mapema mwaka huu. Alimfukuza kazi Gwynne Wilcox, mwanamke wa kwanza Mweusi kuketi katika Bodi ya Kitaifa ya Mahusiano…

Read More