Admin

SERIKALI YAPUNGUZA KODI YA UINGIZAJI WA VITENGE NA KUTOA MSAMAHA WA KODI KWENYE GESI ILI KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Tv MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa, imekutana na wadau mbalimbali wakiwemo watumishi wa TRA, mawakala wa Forodha na wafanyabiashara mkoani Songwe na kuwapa elimu juu ya mabadiliko ya sheria za kodi kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Mkutano huo uliofanyika Agosti 28,2025 katika mpaka…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh36 milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh 36 Milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More