Admin

TTB YAIONGOZA TANZANIA KUNG’ARA KATIKA MAONESHO MAKUBWA YA UTALII DUNIANI

Na Mwandishi Wetu  USHIRIKIwa Tanzania katika maonesho makubwa ya utalii duniani ITB Berlin nchini Ujerumani, umeelezwa kuwa wa mafanikio makubwa, huku ukitoa fursa pana ya kuitangaza nchi kama kitovu cha utalii barani Afrika na kufungua milango mipya ya biashara na uwekezaji katika sekta hiyo muhimu ya uchumi. Mafanikio hayo  yanatokana maonesho ambayo yanafanyika kila mwaka…

Read More

KWANINI SERIKALI INASHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI

:::::: Na Mwandishi wa OMH Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) leo, Machi 5, 2026, imesema Serikali iliamua kushirikiana na sekta binafsi katika uendeshaji wa baadhi ya mashirika ili kuongeza ufanisi, mtaji na matumizi ya teknolojia katika kuendeleza uchumi wa nchi. Mkurugenzi wa Usimamizi wa Utendaji, Ufuatiliaji na Tathmini ya Mashirika ya Kibiashara kutoka OMH,…

Read More

KUELEKEA MACHI 8 WANAWAKE CHATO WAGUSA WENYE UHITAJI

Kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani, Machi 8, wanawake wa Wilaya ya Chato mkoani Geita wameamua kuadhimisha siku hiyo kwa namna ya pekee kwa kutoa misaada na neno la faraja kwa makundi yenye uhitaji. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya ya Chato, Christina Robert, amesema wanawake wa halmashauri hiyo…

Read More

Dodoma Jiji, JKT TZ kuanza msako wa CAF

TIKETI ya kuisaka michuano ya kimataifa msimu ujao, inaanza leo Ijumaa kwa mechi za raundi ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku JKT Tanzania, Dodoma Jiji na TRA United zinazoshiriki Ligi Kuu Bara, zikishuka viwanja mbalimbali. JKT Tanzania iliyoichapa Pan African mabao 7-0, katika mechi ya raundi ya 64 bora, itakuwa kwenye…

Read More

Aliyekataa bao, aliyefunga wafungiwa | Mwanaspoti

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imetoa adhabu kwa klabu, wachezaji na waamuzi kufuatia matukio yaliyojitokeza katika michezo mbalimbali  ikiwemo Dabi ya Kariakoo iliyopigwa wikiendi iliyopita, Zanzibar. Katika uamuzi huo uliotangazwa Machi 6, 2026, Simba imeadhibiwa kwa makosa yaliyotokea katika michezo tofauti ya Ligi Kuu Bara. Katika mchezo dhidi ya Dodoma Jiji, Simba imetozwa faini…

Read More

Wanawake wa TCAA Watoa Msaada Gereza la Segerea Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, wanawake kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wametembelea Gereza la Wanawake Segerea jijini Dar es Salaam na kutoa msaada wa vifaa na mahitaji mbalimbali kwa ajili ya kuwafariji wafungwa wanawake na watoto wanaoishi gerezani hapo. Katika ziara hiyo, wanawake hao walikabidhi mahitaji muhimu kwa uongozi…

Read More

Mapigano Marekani, Israel na Iran yazidi kupanuka

Ni piga nikupige. Ndivyo unavyoweza kuelezea hali ya mambo Mashariki ya Kati ambapo mashambulizi yanayohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran yameendelea siku ya sita huku Iran nayo ikijibu mapigano kwa Israel na kambi za kijeshi za Marekani katika ukanda huo. Kutokana na Iran kuzilenga kambi za Marekani, imejikuta ikirusha makombora yake hadi katika mataifa…

Read More

CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chama cha FRELIMO, (Msumbiji), Ndugu Chakil Felizardo Passadas Aboobacar, ambaye ameanza ziara rasmi ya kikazi kwa siku mbili nchini. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo tarehe 6 Machi 2026, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM,…

Read More