TTB YAIONGOZA TANZANIA KUNG’ARA KATIKA MAONESHO MAKUBWA YA UTALII DUNIANI
Na Mwandishi Wetu USHIRIKIwa Tanzania katika maonesho makubwa ya utalii duniani ITB Berlin nchini Ujerumani, umeelezwa kuwa wa mafanikio makubwa, huku ukitoa fursa pana ya kuitangaza nchi kama kitovu cha utalii barani Afrika na kufungua milango mipya ya biashara na uwekezaji katika sekta hiyo muhimu ya uchumi. Mafanikio hayo yanatokana maonesho ambayo yanafanyika kila mwaka…