Admin

Waliopata maafa ya mvua Kahama kupatiwa misaada ya kibinadamu

Shinyanga. Kufuatia nyumba zaidi ya 200 ikiwemo zahanati ya kijiji cha Mwanase Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kubomolewa na mvua usiku wa kuamkia Desemba 13,2025, Serikali mkoani humo imeielekeza Halmashauri ya Msalala kufikisha mara moja misaada ya kibinadamu katika eneo hilo. Mvua hizo zilisababisha kuezuliwa kwa mapaa katika nyumba 127 huku nyumba 80 zikibomoka kabisa…

Read More

Hospitali ya Selian Arusha kusimamiwa na JKCI

Arusha. Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeingia makubaliano ya uendeshaji wa hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center (ALMC) kwa kipindi cha miaka 20 ijayo, hatua itakayoimarisha huduma za matibabu ya kibingwa ya magonjwa ya moyo katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo,Jumanne Desemba 16,2025 Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Kitambala atabiriwa makubwa Azam FC

BEKI wa zamani wa Yanga, Djuma Shaban amesema baada ya mshambuliaji wa Azam, Jephte Kitambala kuifunga Simba, timu zingine zinatakiwa zijipange kumzuia, kwani atafunga sana. Kitambala alisajiliwa na Azam msimu huu akitokea AS Maniema Union ambayo ilimchukua akitokea TP Mazembe, huku Desemba 7 mwaka huu akifunga bao moja wakati Azam ikiichapa Simba 2-0 katika mechi…

Read More

NGO zahimizwa kujenga misingi imara ya uongozi

Dodoma. Watanzania wametakiwa kujenga utamaduni wa uwazi na uwajibikaji na kubaini makosa kabla hayajawa makubwa, pia viongozi wameelekezwa kuacha alama kwa maeneo ama taasisi wanazokabidhiwa kuziongoza. Wito huo umetolewa leo Jumanne Desemba 16, 2025 na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) Said Kambi wakati wa kusaini mkataba wa makubaliano ya kuwajengea uwezo viongozi…

Read More

MBUNGE LIWAKA AWAHAKIKISHIA MAMALISHE KUTATULIWA CHANGAMOTO ZA MAJI, MASOKO NA MIKOPO

Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka,akisonga ugali kwenye moja ya masoko ambayo mama nitilie wanaojihusisha na uuzaji wa vyakula. Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka, amewahakikishia mama lishe wa jimbo hilo kuwa atashughulikia changamoto zinazowakabili zikiwemo upatikanaji wa maji safi, usafi wa masoko, mikopo kwa wajasiriamali wadogo pamoja na maboresho ya miundombinu ya…

Read More

Mama ateketea akirudia fedha kwenye nyumba inayoungua

Shinyanga. Mkazi wa Mtaa wa Mwasele kata ya Kambarage mjini Shinyanga, Agness James (33) ameteketea baada ya kurudi ndani ya nyumba inayoungua kuchukua fedha zake. Mashuhuda wa tukio lililotokea saa saba usiku wa Desemba 16, 2025 wameeleza kuwa walisikia watu wakipiga yowe na kuomba msaada, ndipo wakaelekea eneo la tukio. Akizungumza na Mwananchi leo Desemba…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MAZISHI YA JENISTA MHAGAMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua katika Kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Mhagama, wakati wa Mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Ruanda Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma leo tarehe 16 Desemba 2025. Watoto wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho,…

Read More

Kulandana apewa mwaka Mbeya City

WAKATI usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufunguliwa Januari Mosi 2026 ukikaribia, uongozi wa Mbeya City umemalizana na aliyekuwa kiungo wa Fountain Gate, Abdallah Kulandana kwa kumsainisha mkataba wa mwaka mmoja. Kulandana amejiunga na Mbeya City baada ya kuvunja mkataba wa miezi sita uliobaki katika timu ya Fountain Gate aliyoitumikia kwa msimu mmoja na nusu. Chanzo…

Read More

Wanafunzi 40 wateuliwa mabalozi wa utalii, uhifadhi

Arusha. Jumla ya wanafunzi 40 wa shule za sekondari zinazopatikana ndani ya eneo la hifadhi ya jamii ya wanyamapori ya Burunge, wilayani Babati, wameteuliwa kuwa mabalozi wa kuhamasisha utalii na uhifadhi wa mazingira. Akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanafunzi hao kabla ya kuanza safari ya mafunzo katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na Ngorongoro, Mkuu…

Read More