
Mbeya City ile siku ndo leo
JIJI la Mbeya leo litakuwa lipo bize kutokana na uwepo wa tamasha la kijanja la klabu ya Mbeya City iliyorejea katika Ligi Kuu Bara msimu huu, ikitoka Ligi ya Championship. Wanakomakumwanya leo ni siku yao na ndio maana wanashangweka kupitia Mbeya City Day kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini humo baada ya awali kufanya shughuli mbalimbali…