TARURA Mkuranga Yatumia Zaidi ya Bilioni 2 Kuboresha Barabara Vijijini na Mjini
Na Miraji Msala, Mkuranga – Pwani Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani umeendelea kuboresha miundombinu ya barabara kwa kutekeleza miradi mikubwa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.2, ikilenga kurahisisha usafiri na kuinua uchumi wa wananchi wa vijijini na mijini. Meneja wa TARURA Wilaya ya Mkuranga, Mhandisi…