Admin

TARURA Rufiji Yaimarisha Miundombinu kwa Miradi ya Bilioni 25

Na Miraji Msala-Rufiji Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, Nicolas Ludigery, amesema miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja inayotekelezwa wilayani humo inaendelea vizuri, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuboresha miundombinu ya usafiri na kuinua shughuli za kiuchumi kwa wananchi. Akizungumza wakati wa…

Read More

Mataifa sitini na tano yanasaini Mkataba wa Kwanza wa UN kupigana na mtandao, katika hatua muhimu kwa ushirikiano wa dijiti-maswala ya ulimwengu

Kupitishwa na Mkutano Mkuu mnamo Desemba 2024 Baada ya miaka mitano ya mazungumzo, Mkutano dhidi ya mtandao Huanzisha mfumo wa kwanza wa ulimwengu wa kuchunguza na kushtaki makosa yaliyofanywa mkondoni-kutoka kwa ulaghai wa kifedha na udanganyifu wa kifedha hadi kugawana kwa makubaliano ya picha za karibu. “Mkutano wa cybercrime wa UN ni chombo chenye nguvu,…

Read More

Mtoto wa Mjini – 13

“Finally we have met once again. (Hatimaye tumeonana kwa mara nyingine)” Linnie alisema na kuachia tabasamu lililoonyesha meno yake meupe yalipangiliwa vizuri kinywani mwake. “God is great…” (Mungu ni mkubwa), Muddy ilikuwa zamu ya Muddy kushukuru huku furaha ya matumaini ikirejea ndani ya nafsi yake.

Read More

Yanga yaichapa Silver Strikers, yafuzu makundi kibabe

MABAO mawili ya kipindi cha kwanza kutoka kwa nahodha msaidizi, Dickson Job na Pacome Zouzoua, yameifanya Yanga kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiiondosha Silver Strikers ya Malawi. Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyochezwa leo Oktoba 25, 2025 kwenye Uwanja wa…

Read More

Mzungu wa Yanga kuanzia hapa

PRESHA kubwa ya Yanga ilikuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam kusaka tiketi ya kutua makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silver Strikers, lakini kocha wao Mzungu ametua mjini Morogoro kwa mambo mengine. Kocha aliyetua Morogoro ni Paul Mathew ambaye ni Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, ameanza ziara ya mikoani akitafuta…

Read More

Viongozi wa Dini Kanda ya Kati Wataka Amani Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dodoma VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania kuendelea kulinda amani ya nchi na kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, wakisisitiza kuwa amani ni tunu na urithi wa thamani unaopaswa kulindwa na kila raia. Wito huo umetolewa leo Oktoba 25, 2025, katika Kongamano…

Read More

Kadi nyekundu za Chalamanda kuna kitu

UNAWEZA kudhani kama masihara, lakini ukweli ni kwamba kadi nyekundu aliyoonyeshwa Ramadhan Chalamanda wa JKT Tanzania dhidi ya Mbeya City, inafanana na ile aliyowahi kuonyeshwa dhidi ya timu hiyo misimu miwili iliyopita. Chalamanda ambaye ameingia JKT Tanzania msimu huu akitokea Kagera Sugar, alionyeshwa kadi hiyo dakika ya 17 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa…

Read More

Kipre Jr, Sillah watuma salamu Azam

SIKU moja baada ya Azam FC kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake, waliokuwa mastaa wa timu hiyo wamewapongeza wachezaji, benchi la ufundi na uongozi huku wakiamini kuwa nafasi ya kutwaa kombe wanayo wakiendeleza vyema mapambano. Azam FC jana imetinga hatua hiyo baada ya kuifunga KMKM kwa…

Read More