Admin

Mbeya City ile siku ndo leo

JIJI la Mbeya leo litakuwa lipo bize kutokana na uwepo wa tamasha la kijanja la klabu ya Mbeya City iliyorejea katika Ligi Kuu Bara msimu huu, ikitoka Ligi ya Championship. Wanakomakumwanya leo ni siku yao na ndio maana wanashangweka kupitia Mbeya City Day kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini humo baada ya awali kufanya shughuli mbalimbali…

Read More

Fountain yanasa beki Mrundi | Mwanaspoti

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa beki wa kati wa Namungo raia wa Burundi, Derrick Mukombozi, baada ya nyota huyo kuafikiana maslahi binafsi na mabosi wa kikosi hicho. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho zimeliambia Mwanaspoti, Mukombozi amekubali maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa…

Read More

Sio bure! Simba kuna jambo linapikwa

MASHABIKI wa Simba huko kitaani kwa sasa wameanza kuchonga. Hii ni baada ya mabosi wa klabu hiyo kufanya uamuzi unaoonekana kama unakuja kuleta mapinduzi makubwa klabuni hapo na hasa kwenye mbio za kusaka mataji katika msimu mpya wa 2025-26, huku Yanga ikitajwa. …

Read More

Faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli! – Global Publishers

UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa kidogo ili mambo yaende. Wanaitumia hiyo kama silaha wakidai kwamba wanawake ni watu ambao wakijua kila kitu wanasumbua. Wanaamini kwamba hata kama ni fedha, mwanaume akimuambia mpenzi wake ana jumla ya kiasi fulani cha fedha basi matumizi yatakayoibuliwa…

Read More

UN Chief Hails ‘mfano wa kushangaza’ wa Papua New Guinea wakati anahitimisha safari ya kihistoria – maswala ya ulimwengu

Akiwa ameshikwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, James Marape, Bwana Guterres aliuliza Maoni Alifanya wakati wa hotuba katika Bunge la Kitaifa Jumatano, ambayo alielezea Papua New Guineans kama “Mabingwa wa Multilateralism na Suluhisho za Kimataifa.” Katibu Mkuu alibaini kuwa, katika ulimwengu ambao “tunaona maadili ya kidemokrasia yakihojiwa,” nchi-ambapo lugha 800 zinazungumzwa-inashikilia upendeleo wa kutatua…

Read More