Saa tatu Kihongosi akisikiliza kero za wananchi Kahama, DMO ajikuta kwenye wakati mgumu
Kahama. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi, ametumia zaidi ya saa tatu kusikiliza na kutatua kero za wananchi, huku Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO), Baraka Msumi, akijikuta kwenye wakati mgumu kutokana na zomea-zomea la wananchi. Kihongosi yupo mkoani Shinyanga kwa ziara ya siku nne ikilenga kufuatilia uhai wa chama,…