Admin

Samia, Dk Nchimbi wanavyoanza kuzisaka kura mikoani

Kampeni za wagombea urais na mgombea mwenza wa Chama cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea leo Ijumaa, Agosti 29, 2025 katika maeneo tofauti nchini. Wakati, mgombea urais, Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Morogoro, mgombea mwenza, Dk Emmanuel Nchimbi ataanza kuchanja mbuga mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye wapigakura wengi, akianzia Mwanza. Kwa mujibu wa takwimu za sensa…

Read More

Sababu Fei Toto kumficha mpenzi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ni msiri mkubwa katika sekta ya mahusiano na mwenyewe amefunguka sababu ya kufanya hivyo. Fei Toto alisema ameamua kufanya hivyo ili yasiingiliane na kazi yake ya kucheza mpira. “Kiukweli ni mpenzi yupo, lakini huwa sipendi kuweka uhusiano wangu hadharani, kazi  yangu haihusiani kabisa na ishu zangu…

Read More

Madagascar, Sudan mmetupa somo CHAN

KIJIWE kilipoa sana baada ya Taifa Stars kutolewa na Morocco katika robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 ambayo kesho Jumamosi yatafikia tamati. Hatuwezi kuchangamka na huku timu ambayo inasimama kama alama ya kutuunganisha Watanzania na mwenyeji, kuaga katika ardhi ya nyumbani. CHAN imetufunza mengi na miongoni mwa masomo tumeyapata kwa timu mbili za Madagascar…

Read More

Pamba Jiji kutesti tatu Kenya

BAADA ya kuwa na kambi ya wiki mbili mkoani Morogoro, Pamba Jiji Jumatatu ijayo inatarajia kwenda Kenya kupiga kambi ya muda mfupi sambamba na kucheza mechi tatu za kirafiki kabla ya kurudi Tanzania tayari kwa ushindani wa Ligi Kuu Bara. Pamba Jiji ambayo imetoka kuifunga Fountain Gate mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki na leo…

Read More

Omary achekelea kurudi nyumbani | Mwanaspoti

BAADA ya kuanza kuitumikia Mashujaa kwa mkopo akitokea Simba, kiungo Omary Omary amefurahia kurudi nyumbani na kukutana na ushindani mkubwa akiamini kwamba amefanya uamuzi sahihi kurejea katika timu hiyo aliyoichezea kabla ya kutua Msimbazi msimu uliopita. Omary amefunguka hayo siku moja baada ya timu yake kuambulia suluhu dhidi ya Al Hilal katika mechi ya kirafiki…

Read More

CHAN 2024: Sudan, Senegal ushindi lazima

WABABE wawili kutoka kundi moja D, Senegal na Sudan wanakutana tena leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Mandela, jijini Kampala, Uganda kutafuta mshindi wa tatu katika mashindano ya ubingwa wa mataifa ya Afrika (CHAN) 2024. Timu hizi zilikutana Agosti 19 katika mechi ya mwisho ya makundi visiwani Zanzibar, ambapo hakupatikana mbabe, lakini leo ni lazima mshindi…

Read More

Mzize awakosha Wafaransa Yanga | Mwanaspoti

TAARIFA njema kwa mashabiki wa Yanga kuanzia juzi ni uhakika wa mshambuliaji wa timu hiyo, Clement Mzize kusalia ndani ya kikosi hicho, lakini makocha wawili wa Kifaransa wamefungukia hatua hiyo wakisema mambo mazito. Tuanze na yule Mfaransa Hamdi Miloud ambaye aliachana na timu hiyo msimu uliopita mara baada ya kuwaachia makombe matatu, ameliambia Mwanaspoti, Mzize…

Read More