Admin

Fadlu afichua siri ya kambi, ataja kitu kizito

SIMBA jana ilimtambulisha rasmi mshambuliaji mpya, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ambaye Mwanaspoti liliwataarifu mapema angetua Msimbazi kwa mkopo kutoka Wydad Casablanca ya Morocco, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids akiichambua kambi ya Misri. Simba iliweka kambi ya karibu mwezi mzima nchini humo, ikianzia jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo na iliifunga rasmi juzi…

Read More

Kocha Abdul Saleh amrithi Mngazija Uhamiaji FC

KIKOSI cha Uhamiaji FC kimemtambulisha Abdul Saleh Mohammed kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akichukua nafasi ya Ali Bakar Mngazija. Mngazija ambaye ametimkia Coastal Union ya Tanga, aliitumikia Uhamiaji FC kwa msimu mmoja pekee wa 2024-2025 ambapo timu hito ilimaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar. Mbali na kufanya maboresho ya benchi la…

Read More

SAMIA SCHOLARSHIP YACHOCHEA UBUNIFU WA KISASA NELSON MANDELA, TAASISI YAANZA KUONA MATUNDA

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, Prof. Maulilio Kipanyula, akisoma hotuba wakati wa Mahafali ya 11 yaliyofanyika Agosti 28, 2025, ambapo jumla ya wahitimu 111 walitunukiwa shahada mbalimbali za Umahiri na Uzamivu. …… TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imejivunia kutimiza malengo matano…

Read More

Uzinduzi Simba Day waleta shangwe Mafinga

Mashabiki na wa wananchama wa Simba Tawi la Mafinga na maeneo mbalimbali nje ya Mkoa wa Iringa, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uzinduzi wa Wiki ya Simba Day  unaotarajiwa kufanyika Agosti 30, 2025, wilayani Mufindi mkoani hapa, huku fursa ya kiuchumi ikitajwa kuwanufaisha. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 28, 2025 na Mwenyekiti wa Tawi…

Read More

Singapore na Tanzania zakubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

………….. Serikali ya Singapore na Tanzania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo na kiuchumi kupitia sekta mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa bandari, utalii, sekta ya fedha, usafirishaji, biashara na uwekezaji, elimu na kilimo ili kuchochea kasi ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake.   Makubaliano hayo ambayo yatatekelezwa kupitia Programu ya Ushirikiano wa Singapore (Singapore Cooperation Program), yamefikiwa…

Read More