Admin

Mahakama Kenya yazuia ujenzi wa kanisa Ikulu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kusitishwa kwa muda ujenzi wa kanisa la kudumu au jengo lolote la kidini katika majengo ya Ikulu, nchini humo. Agizo hilo la muda pia linazuia ujenzi kama huo katika Ikulu za Rais zilizoko maeneo mbalimbali nchini au hata jengo lolote lenye mafungamano na dini. Kwa mujibu wa…

Read More

WATALAAMU WA UFUATILIAJI NA TATHMINI WIZARA YA MALIASILI WAHIMIZWA KUWA KIDIGITALI

…………….. Na Sixmund Begashe, Dodoma Wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Wizara ya Maliasili na Utalii wametakiwa kuzingatia matumizi ya mifumo ya kidijitali katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuongeza ufanisi katika uchakataji, uhifadhi na upatikanaji wa taarifa kwa wakati. Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini wa Wizara…

Read More

BHOJANI AMWOMBEA KURA RAIS DK.SAMIA KISUTU

MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Kisutu, Tousif Bhojani, amewataka wananchi wa kata hiyo kumpa kura za kishindo  mgombea urais kwa kitekiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa Okotoba 29 mwaka huu.  Ameyasema hayo Dar es Salaam, leo baada ya kurejesha fomu ya uteuzi wa  udiwani katika Ofisi…

Read More

Yaliyojiri shauri la Mpina kugombea urais

Dar es Salaam. Shauri la utata wa uteuzi wa mgombea urais wa chama cha ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 limetajwa mahakamani kwa mara ya kwanza, huku Mahakama ikisema haitasita kusimamia haki itakaporidhika kuhusu uwepo wa ukiukwaji wa taratibu. Shauri hilo limefunguliwa jana, Agosti 27, 2025, Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma, na Bodi ya…

Read More

Wataja mbinu kuboresha elimu watu ya  wazima

Dar es Salaam. Wataalamu mbalimbali wa elimu nchini wametoa mapendekezo manne ya kuboresha Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Tanzania (TEWW). Miongoni mwa mapendekezo hayo ni pamoja na Serikali kuandaa waraka utakaowasaidia wanafunzi wanaotoka nje ya mfumo rasmi wa elimu, kurudi kwenye masomo kupitia taasisi hiyo kwa lazima. Pia, wamependekeza Serikali kuandaa waraka wa elimu…

Read More

CAG AFANYA ZIARA ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO

Na Hamis Dambaya, Ngorongoro. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu  za Serikali Bw. Charles Kichere  ametoa wito kwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na kushirikiana ili kulinda matumizi sahihi ya rasilimali za umma. Akizungumza na menejimenti ya Ngorongoro, Kichere amesema njia pekee ya taasisi kufanya…

Read More