Admin

Shahidi aeleza washtakiwa walivyokiri kuhamisha fedha

‎Dar es Salaam. Askari Polisi mwenye namba G 2325, Sajenti Joseph (41) ameieleza Mahakama jinsi mshtakiwa, Respicius Magesa (54) na mwenzake Andrew Kamugisha (47) walivyokiri kutenda kosa la kughushi na kuhamisha Sh159 milioni, kutoka akaunti binafsi kwenda katika akaunti ya Sekondari ya Macmillian.‎ ‎Joseph, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Alhamisi Machi 5, 2026,…

Read More

Mapigano ya hivi punde ya mpaka wa Afghanistan na Pakistan, mauaji ya mwanaharakati wa haki za wanawake wa Iraq yalaaniwa, hatua muhimu ya ugonjwa wa ukoma wa Chile – Global Issues

Ofisi ya uratibu wa misaada, OCHAiliripoti kuwa takwimu za majeruhi “bado haziwezi kuthibitishwa kwa kujitegemea” kwa sababu ya ufikiaji mdogo. Shule na masoko katika wilaya kadhaa za mpakani zimesalia kufungwa huku kukiwa na hali ya kutokuwa na utulivu inayoendelea, wakati moto wa chokaa umelazimu familia kukimbia vijiji kaskazini magharibi mwa Pakistan. Shughuli za misaada katika…

Read More

Mkongomani Namungo awekewa mkataba mpya

UONGOZI wa Namungo FC, uko katika mazungumzo ya kumwongezea mkataba mpya mshambuliaji wa kikosi hicho, Mkongomani, Fabrice Ngoy, baada ya mabosi wa timu hiyo kuridhishwa na kiwango chake. Akizungumza na Mwanaspoti, Mratibu wa Namungo, Ally Suleiman alisema mazungumzo na nyota huyo ili kuongeza mkataba mpya yameanza na yamefikia katika hatua nzuri, baada ya kuridhishwa na…

Read More

Wamiliki wa viwanda wakumbushwa kuboresha mazingira ya kazi

Pwani. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Rahma Kisuo ameziagiza menejimenti za viwanda mkoani Pwani kuboresha mazingira ya kazi na maslahi ya wafanyakazi ili kuhakikisha uzalishaji unakuwa endelevu na wenye tija. Kisuo ametoa agizo hilo Machi 4, 2026 wakati wa ziara yake ya kufuatilia utekelezaji wa sheria mbalimbali za…

Read More

Bonasi yaibua ushindani BDL | Mwanaspoti

NAHODHA wa Stein Warriors, Mwalimu Herry amekiri kuna mabadiliko makubwa katika mchezo huo, yakichangiwa na udhamini pamoja na bonasi zinazotolewa kwa wachezaji. Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam imekuwa ikipiga hatua kila msimu kutokana na kuwepo kwa wadhamini tofauti na miaka ya nyuma na hii imeongeza ushindani kwa wachezaji wakiwania pia kupata bonasi….

Read More

Wanawake, watoto 41,000 kunufaika usawa wa kijinsia

Unguja. Katika wiki ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, mradi wa pamoja wa kukuza usawa wa kijinsia umezinduliwa ukilenga kuwanufaisha zaidi ya wanawake na watoto 41,000 nchini. Mradi huo wa miaka mitano, unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB), unalenga kutoa mikopo yenye masharti nafuu pamoja na kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia. Mbali…

Read More

Mtandao wa utapeli wanaswa na laini 198, kadi 148 za benki

Morogoro. Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limefanikiwa kuvunja mtandao wa utapeli wa simu, maarufu halohalo, baada ya kuwakamata watuhumiwa 10. Katika operesheni hiyo, polisi pia wamekamata laini 198 za simu na kadi 148 za benki kutoka taasisi mbalimbali za kifedha. Watuhumiwa hao walikamatwa Machi 3, 2026 katika operesheni maalumu iliyofanyika Kitongoji cha Magoha, Kata ya…

Read More

Rekodi mbili za Laizer Fountain Gate

USHINDI wa bao 1-0, ilioupata Fountain Gate dhidi ya Mbeya City katika mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa Machi 3, 2026,  kwenye Uwanja wa Sokoine jijini, Mbeya, umemfanya kocha wa timu hiyo, Mohamed Ismail ‘Laizer’ kuandika rekodi mbili mpya, baada ya mwenendo usioridhisha wa matokeo. Rekodi ya kwanza ambayo Laizer ameiweka sambamba na timu hiyo,…

Read More

Sikia hii ya Mwangosi Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Baraka Mwangosi ametajwa kama mchezaji atakayefanya makubwa baadaye, huku akitakiwa hivi sasa kujifunza vitu vingi kiufundi na ushindani vitakavyomjengea kujiamini na kutegemewa katika timu hiyo na Taifa Stars. Miongoni mwa walioliona hilo ni staa wa zamani wa Simba, Emmanuel Gabriel aliyesema Mwangosi anatakiwa kupewa muda kupata uzoefu, kujifunza vitu vingi katika timu,…

Read More