Admin

CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Agosti, 2025.  

Read More

Wasira: Waliompinga Samia walikuwa na hofu ya mabadiliko, masilahi yao

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema wingi wa watu waliojitokeza katika uwanja huo unadhihirisha kuwa CCM ina uwezekano wa kuendelea kukamata dola.  “Sasa nawauliza wanaotaka dola kutoka kwetu wataipata? Wataweza? Wataweza kweli… lakini hatuwezi kuongelea wenyewe lazima tupate watu wa kutusindikiza, kwa hiyo tunawakaribisha wasindikizaji wetu lakini tunawaambia tumejiandaa…

Read More

Matukio ya ajali za moto yaliibua Jeshi la Polisi Lindi

Lindi. Wakati matukio ya ajali za moto yanayohusisha watoto yakiendelea kuripotiwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi limesema kuanzia Januari hadi Agosti 2025, kumeripotiwa matukio 10 tofauti. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo, Alhamisi, Agosti 28, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori amesema matukio ya ajali za moto yamekuwa yakijirudia…

Read More

Wadau waonyesha njia kukabili tatizo la ajira

Arusha. Ufanisi mdogo wa vitendo katika utendaji kazi miongoni mwa wahitimu wa vyuo vikuu nchini, umeelezwa kuwa moja ya kikwazo cha vijana kushindana katika soko la ajira, ndani na nje ya nchi. Kauli hiyo imetolewa leo, Alhamisi Agosti 28, 2025, jijini Arusha na Mhadhiri na Mratibu Msaidizi wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi…

Read More

Absa Bank Tanzania champions CEO collaboration and investment at The 200 CEOs Business Forum as Diamond Sponsor

  Dar es Salaam, 27 August 2025 — Absa Bank Tanzania reaffirmed its commitment to powering growth in Tanzania’s real economy as the Diamond Sponsor of The 200 CEOs Business Forum, an exclusive convening of the nation’s top corporate leaders. The high-level forum was graced by Deputy Permanent Secretary, Ministry of Industry and Trade, Honorable…

Read More

‘Ni wajibu wa viongozi wa dini kupigania haki’

Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema viongozi wa dini wana wajibu mkubwa wa kupigania haki, amani ya kweli na utulivu, mambo ambayo wananchi wote wanayahitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Othman, ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema sauti ya viongozi wa…

Read More

Matatani tuhuma kuisababishia TTCL hasara ya Sh1.5 bilioni

Dar es Salaam. Mfanyabiashara na mkazi wa Moshi, mkoani Kilimanjaro, Grey Chilaza na mwenzake, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka matano likiwamo la kulisababishia hasara ya Sh1.5 bilioni Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL ). Mbali na Chilaza, mshtakiwa mwingine ni Alex Ngonyani ambaye ni mkazi wa Mbinga mkoani Ruvuma. Washtakiwa hao…

Read More