Admin

Simulizi za wazazi malezi ya watoto njiti

Dar es Salaam. Kwa wazazi wa watoto njiti, kila pumzi ya mtoto ni ushindi na kila usiku wa hofu ni hatua nyingine kuelekea kwenye mwanga wa kesho. Mohammed Salim anakumbuka siku ya Mei 5, 2017 ambayo maisha yake na ya mkewe yalibadilika kwani wakati wao wakiwa wamejiandaa kupata mtoto wa pili, safari yao iligeuka kuwa…

Read More

Video: Iran Yasema Imewaua Wanajeshi 500 Wa Marekani

Bakari Mahundu March 5, 2026 0 Comments kiongozi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani Iran imedai kuwaua zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani katika mapigano yanayoendelea, kwa mujibu wa kiongozi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani. Kupitia mtandao wa X, alimshutumu Rais wa Marekani, Donald…

Read More

Willium Edgar atamani kuifunika rekodi yake ya msimu uliopita

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William amesema licha ya kiwango kizuri anachoendelea kukionyesha kwa sasa akiwa na kikosi hicho cha ‘Walima Zabibu’, lakini malengo yake makubwa ni kufunga mabao mengi zaidi ya aliyoyafunga msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, Edgar aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea Fountain Gate, alisema mwenendo wake mzuri unampa motisha ya…

Read More

DMO Kahama azomewa, Kihongosi akisikiliza kero za wananchi

Kahama. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametumia takribani saa tatu kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Phantom mjini Kahama, huku Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO), Baraka Msumi akizomewa na wananchi wakati akijibu malalamiko ya huduma za afya. Kihongosi yupo mkoani…

Read More

DMO kahama azomewa, Kihongozi akisikiliza kero za wananchi

Kahama. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametumia takribani saa tatu kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Phantom mjini Kahama, huku Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO), Baraka Msumi akizomewa na wananchi wakati akijibu malalamiko ya huduma za afya. Kihongosi yupo mkoani…

Read More

Ridhiwani: Tumieni Ramadhani kuombea amani ya Taifa

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete amewataka Watanzania kuutumia mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuendelea kuiombea na kudumisha amani ya Taifa. Amesema maendeleo ya kiuchumi hayawezi kufikiwa pasipo kuwepo amani na Tanzania imefanikiwa kuwa na mazingira ya amani na kuwa moja ya mataifa yanayovutia uwekezaji. Waziri Ridhiwani…

Read More